- Thread starter
- #41
Mama Big
Kuna taarab moja ina maneno kama haya (sijuimwimbaji)
"..Kila uonacho wakitolea macho ..wataka kukichukua..."
"..Japo siyo chako wakitolea macho..wataka kukichukua.."
E.t.c
Kwa nini utoe macho wakati unachotaka wapata kwa wakati na mnaenda kwa zamu