Aiii we bwana weewe kunyima mwenzio dhambi kidude unpewa na mungu buree!

Pamoja na Aliyetupa Alitupa bure lakini Alituwekea masharti ya namna ya kukitumia siyo kumpa kila mtu.............eti kwa sababu Aliyetupa Alitupa bureeeeeeeeeeeeee.................basi sasa liwe bora liende hilo halitawezekana...........inabidi utakayempa lazima kweli awe anastahili na siyo kila mtu anastahiili..........
 
HA HA HA Umenikumbusha ule wimbo ulioimbwa na Banza Stone enzi hizo yuko TOT.

Mimi na wewe ni kitu kimoja haina maana, haina maana kunyimana
Mimi na wewe ni kitu kimoja haina maana, haina maana kunyimana
Mimi na wewe ni kitu kimoja haina maana, haina maana kunyimana
Mimi na wewe ni kitu kimoja haina maana, haina maana kunyimana :music::music::music:


Ndugu Finest samahani ila umefanya error in presentation kidogo, hii ni kutokana na section yako ya makumbuzi kuwa defective kimtindo, hako ka mwimbo Banza alikaimba akiwa Twanga na c TOT, pembeni kuna choki enzi zile

Kwako mama Big, kwanza karibu sana, ila we c mama bali ni Baba Big,
 
I'm gud its 9am now here having my cup of coffee

wao ok
hopefully u goan have a great day over there
coz we had a beautiful day over here..
spent all day in da beach lol
nway im out of the topic ..
wht are we talkin bwt b4???
oohh the song..
thanx 4 da good memories...
 
Asalaam aleikum, bwana asifiwe, tumsifu yesu kristo, kristo, mambo vipi wanaJF natumai mmeamka salama. Jana nimekutana na mkasa kwani huku nilipo kuna sehemu inaitwa uwanja wa fisi akaja nsichana nmoja na kuketi nasi baada ya muda kadri kinywaji kinavyoendelea kushuka akaanza kuntongoza kijana aliyekuwa jirani na meza tuliyokuwa tumekaa akamwambia 'aaiii bwana weewe! Kunyima mwenzio kidude ulichopewa na mungu bure dhambi' na akamngangani yule jamaa npaka wakaondoka wote..duu inasemekana huku huhitaji kuchangia ili upate huduma kila kitu buree wapelekwa nyumbani wapikiwa samaki nchanga na vituzz na majambozz free of charge...itabidi nikirudi nitoe somo kwa dada zetu wale wa ntaa wa uhio na kwingine


Hebu Mama B, twaambie hapo kwa "Nyekundu", pa kukalia ni zile BENCHI ndefu kama za Hospitali, na kinywaji ni Mnazi??????????????????????????
 
wao ok
hopefully u goan have a great day over there
coz we had a beautiful day over here..
spent all day in da beach lol
nway im out of the topic ..
wht are we talkin bwt b4???
oohh the song..
thanx 4 da good memories...

I dont want to read between the lines but you are surely giving me time to do that
 
Am doing fine ma love just miss u so much...nakutamani bwana weewe aaiii

Dah!!!!! Miss you too pumpkin, If you knew how much nimejirizevu kwa ajili yako hata sielewi mechi yetu itaisha ngapi ngapi lakini natumaini haitaisha kwa droo ya zero zero kama ya MAN CITY na MAN U jana
 
Hebu Mama B, twaambie hapo kwa "Nyekundu", pa kukalia ni zile BENCHI ndefu kama za Hospitali, na kinywaji ni Mnazi??????????????????????????

Hapana sio mabenchi ni viti tena vyenye nembo ya coca cola na meza zake vinyaji hadi valuu inapatikana
 
Dah!!!!! Miss you too pumpkin, If you knew how much nimejirizevu kwa ajili yako hata sielewi mechi yetu itaisha ngapi ngapi lakini natumaini haitaisha kwa droo ya zero zero kama ya MAN CITY na MAN U jana

I trust u laaziz
 
Kwako mama Big, kwanza karibu sana, ila we c mama bali ni Baba Big,
[/B][/I][/FONT][/COLOR][/QUOTE]

What make u think that...any prove?
 
duh hiyo kali kwani kanisa lile pale halifanyi mamboyake?nasikia hiyo biashara ilishasahaulika pale siku hizi ni uwanja wa sifa jamani loh...bwana yesu asifiwe...

Makanisa na misikiti imo vile vila ila utamaduni umeshika kasi huku kunyima ntu kitu dhambi
 
Back
Top Bottom