GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
AIDS Day Shinyanga
Awali ilitarajiwa kuwa JK kama mgeni rasmi, baadaye kidogo akakabidhiwa Mtaalam wa Nyuklia nae kama akatolea nje hivi kisha akakabidhiwi Pinda naye sijui kakumbwa na masahibu gani sasa ni Lukuvi.
Naomba nisitie chumvi zaidi ya kujiuliza hizi siasa za Tanzania na mapambano dhidi ya matatizo yanayomzunguka mtanzania.
Hatusikii wakiahirisha na kukacha shughuli za kufungua mahoteli.
Takwimu kuhusu Ukimwi kwa sasa zinatisha baada ya kuwa ugonjwa huu ni kama umezoeleka huku taasisi zilizokuwa zinafaidika na mabilioni ya wahisani zikikumbwa na baridi baada ya fuko la fedha kujali zaidi ushoga kwa madai kuwa vita ya ukimwi sasa inaeleweka vema na kwamba kila mmoja anajua nini la kufanya kujilinda na maambukizi mapya.
My TAKE:
Ukimwi ni kama umezoeleka na hakika hakuna hata anayeuogopa tena, kama kuna aliyeko huko kambarage atupe detil kwa wanayojiri...Nimeona kama Star TV wapo Live japo wamepotea ghafla sijui symbion itakuwa imewatenda au kitu gani.
ADIOS
My take:
Awali ilitarajiwa kuwa JK kama mgeni rasmi, baadaye kidogo akakabidhiwa Mtaalam wa Nyuklia nae kama akatolea nje hivi kisha akakabidhiwi Pinda naye sijui kakumbwa na masahibu gani sasa ni Lukuvi.
Naomba nisitie chumvi zaidi ya kujiuliza hizi siasa za Tanzania na mapambano dhidi ya matatizo yanayomzunguka mtanzania.
Hatusikii wakiahirisha na kukacha shughuli za kufungua mahoteli.
Takwimu kuhusu Ukimwi kwa sasa zinatisha baada ya kuwa ugonjwa huu ni kama umezoeleka huku taasisi zilizokuwa zinafaidika na mabilioni ya wahisani zikikumbwa na baridi baada ya fuko la fedha kujali zaidi ushoga kwa madai kuwa vita ya ukimwi sasa inaeleweka vema na kwamba kila mmoja anajua nini la kufanya kujilinda na maambukizi mapya.
My TAKE:
Ukimwi ni kama umezoeleka na hakika hakuna hata anayeuogopa tena, kama kuna aliyeko huko kambarage atupe detil kwa wanayojiri...Nimeona kama Star TV wapo Live japo wamepotea ghafla sijui symbion itakuwa imewatenda au kitu gani.
ADIOS
My take: