denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Wanaona aibu kwa uhuni waliofanya.Huko Nkasi hakukuwa hata na mawakala baadhi ya vituo, CHADEMA itashindaje kama siyo MIPANGO YA KUFUNIKA KOMBE NI NINI? USHAONEA WAAPI
Wanaona aibu kwa uhuni waliofanya.Huko Nkasi hakukuwa hata na mawakala baadhi ya vituo, CHADEMA itashindaje kama siyo MIPANGO YA KUFUNIKA KOMBE NI NINI? USHAONEA WAAPI
Na mimi nilizisikia hizo, inawezekana.Ndio zile nafasi 5 za upendeleo?
Ukweli watu wengi hawajajitokeza kupiga kura alafu wanalalamika CCM kushinda jamani kura moja ina impact sana.Maeneo mengine, wasimamizi aidha wamepewa maelekezo au wamekuwa na hofu ya kutumbuliwa, wameishia kudhulumu ushindi wa wagombea.
Yaliyotokea yanaenda kuleta chuki ya muda mrefu katika jamii.
Wananchi ngazi za majimbo na kata na vijiji wanajua ni mgombea gani anakubalika.
Viongozi wa Tume wapo Dar na Dodoma lakini wasimamizi ngazi za chini ni watumishi wa Serikali, wengi ni wateuliwa na ni makada wa chama na wasaidizi wa ngazi za kata na vijiji walikuwa wanapewa maelekezo bila viongozi wa Tume ya Uchaguzi(Taifa) kufahamu kuwa ngazi za chini wasimamizi hawapo huru katika kutekeleza jukumu la usimamizi wa uchaguzi.
Kinachofuata ni maisha ya kinafiki, chuki na visasi dhidi viongozi na wananchi.
Tunduma keshatangazwa mshindi Silinde wa CCM kwa hisani ya wizi wao.Tunduma na nyamagana vipi maana nako wanachadema walishinda
Mkuu ukweli watu wengi hawajapiga kura.Wajinga wanajaribu kuchezea akili za watu, wapuuzi kweli.
Kama watu hawajajitokeza kwa nini iwaathiri wapinzani peke yao isiwaathiri na hao CCM?!ukweli watu wengi hawajajitokeza kupiga kura alafu wanalalamika ccm kushinda jamani kura moja ina impact sana
Tunduma keshatangazwa mshindi Silinde wa CCM kwa hisani ya wizi wao.
Hoja yako ingekuwa nzito zaidi kama pasingekuwa na kelele za kura feki kila kona ya nchi, lakini kwa mazingira yaliyokuwepo hoja yako siipi uzito.mkuu ukweli watu wengi hawajapiga kura
Kabisa mkuu. ..watu wanafurahia Ila hakika tutakuja kulia na kusaga meno wote hapo baadae.Mkiwa na kiongozi mkuu mnafiki na zao la shetani, waongozwa wote mtajuta. Sahizi kuna watu wanafurahia lakini waja wakati ambao wanaofurahia watajuta kuliko wanaoumia leo.
Nchi ipo katika laana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyamagana itoe hapo.Tunduma na nyamagana vipi maana nako wanachadema walishinda
Wamepanga kumtoa kafara huyu mwenye mdomo mchafu mzee ili izime hali hii kuonesha kuwa unaona huyu mtu maarufu kwetu lakini kashindwa kwa kura alfu 1 ni mambo ya kitoto sana huko kwingine ni mwendo wa 80% ujinga mtupu. sitopiga kura tena maisha yangu yote mpaka siku nione kweli kura yangu ina maana kwa sasa upuuzi tu.Hawakusahau wameanza kujistukia.
Na wote ni wanawake?Tanzania nzima wameƙuwa wa2 tu ɗu🙉
Namuombea huyu dada apewe usirikiano na CHADEMA, laa sivyo atakuwa na wakati mgumu sana bungeni. Kutimiza majukumu yake ya kibunge na kufuata matakwa/masharti ya Chama.
Wanajistukia ya nini bwanaHawakusahau wameanza kujistukia.