socrates
Member
- Jun 26, 2008
- 15
- 0
Nilivyopata habari hii nilidhani ni udaku lakini baada ya kutemebelea Arusha hivi majuzi kwa lengo la kubook mktano kwenya ukumbi wa Simba Uliokarabatiwa nilishangaa na kuamini ni kweli. Nimepata data kidogo tu za kuanzia .
Katika kukarabati ukumbi wa AICC kwa ajili ya Sulivan , kiongozi wa AICC Bwana Kaaya aliingia mikataba ya kujenga ukumbi huo kitapeli na kusababisha hasara kubwa. Makampuni mengi yalikuwa ya nje na walichofanya ni wizi wa wazi wazi mchana kweupee. Mfano nilpata info kuwa Kampuni moja ya iitwayo Notson Accustica ya Spain na Ufaransa ililipwa paundi 85,000. 00 bila kufanya kazi yoyote .Kazi hiyo alipewa fundi wa Kibongo kwa hela kidogo tu huku wazungu akiishia na kitita hicho cha fedha bureee.
Kwa macho yangu nimeshuhudia ukumbi huo .Japokuwa ukiona kwa macho tu unapendeza lakini mkikaa hamuwezi kupishana na hatari ikitokea kujiokoa ni ndoto. Viti vyote ni vya sinema hall na hkuna meza. Nilihoji kidogo niliambiwa hata hmeshimiwa Jk aliwahi kuhoji ila Kaaya ni best yake . Gharama ilitomika ni zaidi ya billion 4 na asilimia 75% ya gharama hiyo zililipwa kampuni za kitapeli na amabzo kuzipata haukufuatwa utaratibu wa manunuzi PPRA. Nimeambiwa Bwana Kaaya alisafiri mwenyewe na kuingia maktaba na kampuni hizo moja kwa moja huko huko France na Spain. La zaidi sana ni kwamba kampuni hizo zinahisiwa kuwa na uhusiano wa karibu sana.
Ili kuthibisha hili nimejaribu kuuliza washkaji Wizarani ya Mambo ya nje nikaambaiwa fedha hizo zote zinalipwa na serikali . Hapa ndipo pamenipa confu maana sasa naamini ufisadi umetinga huko. Ukiacha kazi za ujenzi ambazo nilishuhudia kampuni za kibongo zikifanya makampuni haya yalilipwa fedha hizi bila utaritibu. Licha ya hiyo nyingine hazikufanya kazi kabisa.
Figuera International 507,465.00
Jordi Mas I Sangeles 73,195.00
Notson Acustica 185,000
Audio Visuel Company 507,244.00
Total Euros 1,272,904
Na Huu si udaku. Mapamabano dhidi ya ufisadi na magumu kuliko chochote. Walioko Arusha fuatilieni ukweli wa mambo mmwage hapa.
Katika kukarabati ukumbi wa AICC kwa ajili ya Sulivan , kiongozi wa AICC Bwana Kaaya aliingia mikataba ya kujenga ukumbi huo kitapeli na kusababisha hasara kubwa. Makampuni mengi yalikuwa ya nje na walichofanya ni wizi wa wazi wazi mchana kweupee. Mfano nilpata info kuwa Kampuni moja ya iitwayo Notson Accustica ya Spain na Ufaransa ililipwa paundi 85,000. 00 bila kufanya kazi yoyote .Kazi hiyo alipewa fundi wa Kibongo kwa hela kidogo tu huku wazungu akiishia na kitita hicho cha fedha bureee.
Kwa macho yangu nimeshuhudia ukumbi huo .Japokuwa ukiona kwa macho tu unapendeza lakini mkikaa hamuwezi kupishana na hatari ikitokea kujiokoa ni ndoto. Viti vyote ni vya sinema hall na hkuna meza. Nilihoji kidogo niliambiwa hata hmeshimiwa Jk aliwahi kuhoji ila Kaaya ni best yake . Gharama ilitomika ni zaidi ya billion 4 na asilimia 75% ya gharama hiyo zililipwa kampuni za kitapeli na amabzo kuzipata haukufuatwa utaratibu wa manunuzi PPRA. Nimeambiwa Bwana Kaaya alisafiri mwenyewe na kuingia maktaba na kampuni hizo moja kwa moja huko huko France na Spain. La zaidi sana ni kwamba kampuni hizo zinahisiwa kuwa na uhusiano wa karibu sana.
Ili kuthibisha hili nimejaribu kuuliza washkaji Wizarani ya Mambo ya nje nikaambaiwa fedha hizo zote zinalipwa na serikali . Hapa ndipo pamenipa confu maana sasa naamini ufisadi umetinga huko. Ukiacha kazi za ujenzi ambazo nilishuhudia kampuni za kibongo zikifanya makampuni haya yalilipwa fedha hizi bila utaritibu. Licha ya hiyo nyingine hazikufanya kazi kabisa.
Figuera International 507,465.00
Jordi Mas I Sangeles 73,195.00
Notson Acustica 185,000
Audio Visuel Company 507,244.00
Total Euros 1,272,904
Na Huu si udaku. Mapamabano dhidi ya ufisadi na magumu kuliko chochote. Walioko Arusha fuatilieni ukweli wa mambo mmwage hapa.