Mheikungu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2018
- 214
- 448
HILI HAPANA.
Kilichotokea leo uwanja wa Taifa sio haki, sio heshima kwa wajasiriamali. Yapaswa Serikali kutoa kauli kuhusu hili lililotokea.
Wajasiriamali wameujaza uwanja wa Taifa leo baada ya kutangaziwa kuwa kutakuwa na mikopo kuanzia 500,000/-
Watu wamedamka asubuhi, wamepigilia suti za maana. Kufika kule hakuna cha mkopo wala nini badala yake ni tamasha la dini. Sio haki kabisa hii.
Waliowaongopea wadanganyika wawajibishwe haraka
Kilichotokea leo uwanja wa Taifa sio haki, sio heshima kwa wajasiriamali. Yapaswa Serikali kutoa kauli kuhusu hili lililotokea.
Wajasiriamali wameujaza uwanja wa Taifa leo baada ya kutangaziwa kuwa kutakuwa na mikopo kuanzia 500,000/-
Watu wamedamka asubuhi, wamepigilia suti za maana. Kufika kule hakuna cha mkopo wala nini badala yake ni tamasha la dini. Sio haki kabisa hii.
Waliowaongopea wadanganyika wawajibishwe haraka