The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,417
- 13,375
kweli ni kubwa jinga
Subuhannalah!
kweli ni kubwa jinga
Subuhannalah!
Jamani hivi kweli tunashangaa kiukweli au tunapotezea? Mbona hata kwenye makambi yetu Tz haya mambo yapo na wanajulikana kwa majina? na tuanze kwa kutoa boriti kwenye jicho letu kwanza
Hapo penye red nakushauri kama unawataka wakijeshi nenda pale Mwenge junction ya Lugalo na Ubungo halafu simama pembeni then ukiona wamejazana kwenye basi wanapita wee konyeza yeyote halafu rudi hapa utuelezee utakachokipata