bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,435
kwa wale tuliangalia gwaride jana siku ya kuazimisha miaka 46 ya muungano binafsi nilitamani ardhi ipasuke inimeze kwa matukio yalivyokua yakiendelea pale uwanja wa uhuru.
hasahasa ni pale watu kadhaa wa majeshi walipokua wakipita mbele ya rais na mabalozi wa nchi mbalimbali huku wakidondokwa na vitu kadhaa kama kofia, mikanda na cha kutia aibu kabisa ni pale soli za viatu zilivokua zikibanduka ovyo huku zikionekana kabisa ni zile za viatu vya wachaga, sasa cjui ni dili za wakubwa kuwapelekea wanajeshi viatu feki au nini?
ebu fikiria pale bunduki ilipopasuka, ni sio kwenye live combat labda ile ''recoil velocity'' ndio imeiharibu ila ni kwa kushikwa na kupinduliwa kikakamavu ndio ikapasuka! aibuuu tupu!
mbona nchi za watu kuna show kali inayoonyeshwa ikimbatana na mandege ya kivita kufanya show, sisi gwaride ni ivi tu!
hasahasa ni pale watu kadhaa wa majeshi walipokua wakipita mbele ya rais na mabalozi wa nchi mbalimbali huku wakidondokwa na vitu kadhaa kama kofia, mikanda na cha kutia aibu kabisa ni pale soli za viatu zilivokua zikibanduka ovyo huku zikionekana kabisa ni zile za viatu vya wachaga, sasa cjui ni dili za wakubwa kuwapelekea wanajeshi viatu feki au nini?
ebu fikiria pale bunduki ilipopasuka, ni sio kwenye live combat labda ile ''recoil velocity'' ndio imeiharibu ila ni kwa kushikwa na kupinduliwa kikakamavu ndio ikapasuka! aibuuu tupu!
mbona nchi za watu kuna show kali inayoonyeshwa ikimbatana na mandege ya kivita kufanya show, sisi gwaride ni ivi tu!