<br />duuh siamini imetungwa hii haiwezekani jk ameondokaje kwenda egypt jioni hii huu ni urongo!!
kuna mbegu zingine zinaendelea kupandwa hukoKila uchaguzi una matokeo kama vile kupanda mbegu kuiivyo na matokeo. Iweje waliopanda washangazwe na mavuno yao au wale waliochagua na chaguo lao?
Ngeleja alisema mwisho wa mgao ni juzi cha kushangaza mgao umeongezeka zaidi,we dont care about uchumi wetu and more to come....