illegal migrant
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 1,277
- 1,119
Wazawa wanakuwa madereva manake wanaijuia mitaa Balozi, naibu balozi na ma secretary wao first secretary Afisa uhamiaji, wazawa wataajiriwa tu kama ubalozi husika unafanya miradi ya maendeleo huu ni ujinga ukifika nchi za kiarabu umepata tatizo unakwenda ubalozini kwako unakuta waliopo hawajui kiswahili wala kingereza na wewe unashida tembea uone mshamba ni wewe mbwa weUkisikia ubalozi wa Tanzania usa usifikirie wote ni watanzania, ma ofisa wa juu tu ndiyo wa Tanzania, wengine lazima wawe wazawa wa nchi husika, ndiyo maana hapa kuna wa Tanzania wanafanya kazi ubalozi wa usa, fanya utafiti sana kabla ya kuweka uzi hapa mshamba wewe.