Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 48,892
- 54,099
Mwambie Dkt Ryoba Kabla Asubuhi HaijafikaHiyo sio sahihi watapaswa waombe radhi
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Anachukizwa Sana
Viongozi Wapo
Wahariri Wapo
Mwambie Dkt Ryoba Kabla Asubuhi HaijafikaHiyo sio sahihi watapaswa waombe radhi
Miaka yote tumekuwa tukipinga jina la Ziwa Nyasa kuwa ni Ziwa Malawi kama lilivyobatizwa na Rais Banda wa Malawi!
Leo kwa masikitiko makubwa nimesikia TBC wakiliita Ziwa Malawi tena kwa kurudia rudia tena katika taarifa ya habari ya usiku huu! Malawi siku zote wanadai Ziwa ni mali yao, hoja ambayo tumekuwa tukipinga kwa nguvu zote! Sasa nimeamini kuwa kweli Ziwa Nyasa ni mali ya Malawi na Tanzania ni wavamizi!
Shame on you TBC!
Hili kosa ni kama uhaini. Huyu mwandishi kaokotwa au? Raia anayewajibika lazima ajue kuhusu Ziwa Nyasa na mgogoro unaohusika.Wabongo wana phd ya Roho mbaya
Hayo ni makosa ya sasa mnataka mwenzenu aharibikiwe na Family yake utadhan nyie hamfanyi makosa eneo lenu la kazi
Hii TV ni janga la kitaifa, ukiondoa kukosa umakini, kupooza kukosa mvuto pia ina ugonjwa mbaya wa kupanda na kushuka sauti. Yaani hata ukiweka zero si ajabu ikasikia sauti inajipandisha hadi Vol. 600,au ukiweka Vol. 10000 itajishusha mpaka Vo. 1.
Miaka yote tumekuwa tukipinga jina la Ziwa Nyasa kuwa ni Ziwa Malawi kama lilivyobatizwa na Rais Banda wa Malawi!
Leo kwa masikitiko makubwa nimesikia TBC wakiliita Ziwa Malawi tena kwa kurudia rudia tena katika taarifa ya habari ya usiku huu! Malawi siku zote wanadai Ziwa ni mali yao, hoja ambayo tumekuwa tukipinga kwa nguvu zote! Sasa nimeamini kuwa kweli Ziwa Nyasa ni mali ya Malawi na Tanzania ni wavamizi!
Shame on you TBC!
Mkurugenzi mwenyewe kutwa yko monde
Ova
Pumbavu kwani mtangazaji alikuwa anatangaza taarifa ya shirika gani?!Ili kfahamu
Kabla ya kulaumu, ni vizuri kufahamu kwa nini liitwe hivyo. Ziwa hili lipo kwenye mipaka ya Tanzania,Malawi na Msumbiji nalina majina kufuatana na shehemu husika.
Watu wa Malawi wanaliita ziwa malawi, Tanzania tunaliita ziwa Nyasa, na kule msumbiji wanaliita ziwa Lago Niassa.
NB:
Siyo TBC imeliita ziwa malawi, bali ni mtangazaji wa TBC
Mwambie Dkt Ryoba Kabla Asubuhi Haijafika
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Anachukizwa Sana
Viongozi Wapo
Wahariri Wapo
Ukweli ndiyo huo. Tafuta ramani ya miaka ya nyuma anzia 1930. Utaujua ukweliMiaka yote tumekuwa tukipinga jina la Ziwa Nyasa kuwa ni Ziwa Malawi kama lilivyobatizwa na Rais Banda wa Malawi!
Leo kwa masikitiko makubwa nimesikia TBC wakiliita Ziwa Malawi tena kwa kurudia rudia tena katika taarifa ya habari ya usiku huu! Malawi siku zote wanadai Ziwa ni mali yao, hoja ambayo tumekuwa tukipinga kwa nguvu zote! Sasa nimeamini kuwa kweli Ziwa Nyasa ni mali ya Malawi na Tanzania ni wavamizi!
Shame on you TBC!
Pumbavu kwani mtangazaji alikuwa anatangaza taarifa ya shirika gani?!
Kuna Jamaa Akiwaona Watangazaji Wa Tbc Hasa Wanawake Husema Wanavaa Hovyo Kama Wapo Home Tu 😐😶🙂😂😂😂😂My ribs😂😂😂😂
Wapuuzi wote waliohusika wawajibishweMiaka yote tumekuwa tukipinga jina la Ziwa Nyasa kuwa ni Ziwa Malawi kama lilivyobatizwa na Rais Banda wa Malawi!
Leo kwa masikitiko makubwa nimesikia TBC wakiliita Ziwa Malawi tena kwa kurudia rudia tena katika taarifa ya habari ya usiku huu! Malawi siku zote wanadai Ziwa ni mali yao, hoja ambayo tumekuwa tukipinga kwa nguvu zote! Sasa nimeamini kuwa kweli Ziwa Nyasa ni mali ya Malawi na Tanzania ni wavamizi!
Shame on you TBC!
Kwani Nyasa maana yake nini? Nyasa ndo malawi kwa vijana wa siku hizi mfahamu hilo.Miaka yote tumekuwa tukipinga jina la Ziwa Nyasa kuwa ni Ziwa Malawi kama lilivyobatizwa na Rais Banda wa Malawi!
Leo kwa masikitiko makubwa nimesikia TBC wakiliita Ziwa Malawi tena kwa kurudia rudia tena katika taarifa ya habari ya usiku huu! Malawi siku zote wanadai Ziwa ni mali yao, hoja ambayo tumekuwa tukipinga kwa nguvu zote! Sasa nimeamini kuwa kweli Ziwa Nyasa ni mali ya Malawi na Tanzania ni wavamizi!
Shame on you TBC!