Mnasemaga mmekosa nauli,mara vibari n.k. ili msiende kucheza. Simba amefanikiwa kwa 100% safari hii na atapita yeye na GendermarieBora ..angeenda namungo ...cuf
Hatukatai kufungwa ni kawaida.....ila kwa timu Kama Simba ......kuchezewa mpira kizembe vile ..... possession 33%Msiinange kihivyo timu yetu,mechi bado nyingi tutafuzu robo fainali.
Kundi letu timu zote zishafungwa hajabu nini kwa Simba yangu kufungwa au ndo ya kwanza kufungwa kwenye kundi!
Hii inawezekana wakati hata ww hujazaliwaEbu tuangalie takwimu zetu wakati hata sisi misukule tuliposhiriki mashindano kama haya.Tusikubali usemi wa Manara utukuke kwamba sisi ni hamnazoView attachment 2133809
Subirini msimu ujao....ubingwa waja
Kwahiyo unakubali kwamba simba ni timu kubwa?kwa Maana hiyo ingekuwa Yanga ungekubaliana na hali hiyo.Hatukatai kufungwa ni kawaida.....ila kwa timu Kama Simba ......kuchezewa mpira kizembe vile ..... possession 33%