Mwaka gani unaongelea.......We unataka udharirishaji upi zaidi ya ule mliofanyiwa na Rivers utd timu ndogo kabisa barani Afrika? Hata goli la offside tu utopolo hakupata nyumbani na ugenini.Angalau simba bado ana nafasi ya kuja kujiuliza tena nyumbani kwa mkapa . Hapo ndipo utakapowataa hao Berkane kwamba siyo wenyewe jinsi watavyogeuzwa asusa.
Mkuu huo muda wa kukukumbusha kwamba utopolo alikojolewa nje ndani mwaka gani na Rivers unatoka wapi?Mwaka gani unaongelea.......
kuna timu imepigwa 6 jana nyumbani kwakeKanuni ni ile ile:Kila mtu ashinde mechi zake nyumbani
Russia wenyewe wakuwa LusiaKwahiyo umeamua ututukane sisi MAKOLO kupitia huyo mmbwa aliyejivika manyoya ya simba si ndiyo
Ngoja niwaite RUSSIA wakugaragaze
Tutasikia mengi mwaka huu. wametushushia heshima ya nchi
Jana walipigiwa mwingi mnooPamoja na kuwa RS berkane wana historia nzur kwenye kombe la shirikisho ila simba mechi za ugenini hawajiamin kabisa wachezaji kipind cha kwanza wamecheza kiuoga Sana hawajiamin kabisa kipind cha pili angalau
Watapita sema mbele ndo itakuwa mwendo wa 5Inawezekana Safari yao itaishia hapa