so kuna degree za chupi na ubunge wa chupi???
Ben Saanane ni tuhuma za kutunga.. yeye mwenyewe anazihusisha na siasa za bunge la Afrika Mashariki..Hivi tuhuma hizi dhidi ya Shy-Rose zina ushahidi au Ukweli wowote au ni ule uzushi tu hasa fitna ndani ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu mwakani?
Naona unameza mazima kama mamba bila kuchambua miba, kisa anaongelewa mwana CCM.Kweli siasa za CCM balaa...hebu turudi nyuma kidogo; kabla ya uchaguzi mkuu wa 2005. Mzee wetu Salim Ahmed Salim alivyochafuliwa! Haya tukatize hadi mwaka 2014, mwaka moja kabla ya uchaguzi mkuu, Mzee wetu Jaji Joseph Sinde Warioba anavyoendelea kutukanwa! Je yawezekana Shyrose Bhanji kaonekana anataka kutia mchanga kwenye kitumbua cha watu? Yangu macho, ngoja tusubiri.
Kumbe kwenye familia yenu huyo ndo mwadilifu...? Pole sana...Watanzania tuache majungu mambo kama hayana tija yoyote kwa Taifa zaidi ya kupoteza muda.
Shyrose Banji ni mmoja kati ya watu adilifu na huu ni uzushi.
Najua shyrose huwa hataki kuonewa. Hata makamba senior anajua hilo. Hata jk analijua hilo maana alishawapa ukweli hadharani.
Kwanza Mwanamke Aliyetimilifu Anaweza Kuwa Mvuta Sigara Kama Shyrose? Angalia Vivulana Anavyotembea Navyo Wabana Pua!! Kwa Umri Wake Na Hadhi Yake Anaweza Kutembea Na Yule Mwanamuziki? Mwanaume Aliyestaarabika Hawezi Kuoa Mwanamke Kama Yeye Mvuta Misigira Na Mvaa Vichupi! Ndo Maana Anaishia Kugalagazwa Na Wabana Pua.
Kama ni kweli sidhani kama nitakuwa nimekosea nikisema ni ile damu ya "kichuri" ndiyo inayosababisha tabia yake hii ya shari!!
kwani si wabunge wa Tanzania huko eala wametenguliwa na Court ama nimechanganya madesa?