Wametumia mbinu ya kifisadi eti swala liko mahakamani no right 2 discuss
no ryt kuchunguza?????
Wametumia mbinu ya kifisadi eti swala liko mahakamani no right 2 discuss
Aliyemteka Dr. Ulimboka ni RAMADHANI IGHONDU mfanyakazi wa Ikulu!!!
Hata Said hawatamhOji kwa sababu anaujua ukweli kama aujuavyo KOVA.NDUGU ZANGU DUNIA HII NI KIJIJI UKIINGIA KWENYE MITANDAO YA SIMU NI RAHISI SANA KUPATA MAWASILIANO YOTE YA DR ULIMBOKA KABLA YA KUTEKWA KWAKE NA HIO NDO KAZI ANAYOTAKIWA KUIFANYA KOVA.NA SERIKALI INAPOKUWA KIMYA KAMA ILIVYO SASA HIVI INATOA MWANYA KWA WATU KUUPATA UKWELI PASI NA SHAKA NA WENGINE KUHISI TOFAUTI KWANI SERIKALI YAO IMESHINDWA KUWAPA TAARIFA ZA KIUCHUNGUZI NA KUPIGA DANADANA KWA JAMBO AMBALO KIUPELELEZI NI RAHISI SANA.WAINGIE KWENYE MTANDAO WA SIMU WAFUATILIE WALIOKUWA WANAWASILIANA NAE WOTE.Mimi nataka said Kubenea ahojiwe , hizo habari za uchochezi anazitoa wapi?
Utawala wa dogo unaingia political sunset.
Walijua wameshamaliza kazi na jamaa ni marehemu, kumbe Mungu mkubwa sasa wameumbuka hawana pa kutokea. Polisi magamba, Usalama wa mafisadi, TAKUKURU ni majanga mengine ya Taifa kama lilivyo janga la "kumchagua" tena Kikwete 2010.
hapo kwenye red hata mimi nimejiuliza sana! Ninamashaka na huo umri!?
Yeyote aliyempa mkong'oto Ulimboka anastahili kila sifa.
Mimi nataka said Kubenea ahojiwe , hizo habari za uchochezi anazitoa wapi?
Ushahidi upo lakini hakuna wa kumhoji.. Huwezi kuhoji usalama wa taifa... Tangu lini umesikia serikali ya marekani inahoji FBI huwezi itakula kwenu
Mimi nataka said Kubenea ahojiwe , hizo habari za uchochezi anazitoa wapi?
Siyo kuhojiwa, Kubenea anapaswa kupelekwa mahakamani kwa kuchapisha habari za uchochezi. Huko ndo atajieleza alizipata wapi hizo habari.
Wewe lazima utakuwa MUISLAMU tu! Kwa Mkristo wa Kweli Soma 1 Wakorintho 13:4-13 love does not delight with evil.... and the Bible says the Love of God (AGAPE) has been sge abroad upon our hearts by the Holy Spirit... true Christians wamenisoma...
Ujasiri wa kumkamata na kumhoji Kubenea haupo.
Wanajua akifika mahakamani ataanika vyote.
Ila wanachoweza kufanya ni kumpangia mkasa kama wa Ulimboka.
Yeyote aliyempa mkong'oto Ulimboka anastahili kila sifa.