Abdulhalim Platinum Member Jul 20, 2007 17,193 3,011 Nov 4, 2011 #61 Inaonekana mipango ya serikali inaenda kiajaliajali kana kwamba hakuna action plans.
Abdulhalim Platinum Member Jul 20, 2007 17,193 3,011 Nov 4, 2011 #62 Hizo semina ni sawa tu, kwanini mlipwe posho kufanya kazi ambazo mlipaswa mzifanye ?
Kurunzi JF-Expert Member Jul 31, 2009 9,277 9,912 Nov 4, 2011 #63 mchemsho said: Kwanza mitihani yenyewe siku hizi wastani umeshushwa hadi ziro. Ukiandika tu jina umefaulu.! Click to expand... Mchemsho, Nimecheka sana du! U make my day.
mchemsho said: Kwanza mitihani yenyewe siku hizi wastani umeshushwa hadi ziro. Ukiandika tu jina umefaulu.! Click to expand... Mchemsho, Nimecheka sana du! U make my day.
Kimbojo JF-Expert Member Apr 12, 2009 387 54 Nov 4, 2011 #64 This is TZ we want. TUMETHUBUTU kufanya nini?, TUMEWEZA nini? TUNASONGA MBELE kwenda wapi?
H Haika JF-Expert Member Mar 3, 2008 2,348 559 Nov 4, 2011 #65 nasikia fedha za halmashauri hazijaenda pia, mishahara imekwatwa, na kuna ambao hawajalipwa kibao!! Serikali yetu kwa kweli ni wabunifu
nasikia fedha za halmashauri hazijaenda pia, mishahara imekwatwa, na kuna ambao hawajalipwa kibao!! Serikali yetu kwa kweli ni wabunifu
Nyamemba JF-Expert Member Nov 3, 2011 845 446 Nov 4, 2011 #66 hapo ni manispaa ambako wachokonozi ni wengi,vp huko duniani ambako hata mwl kumtazama DEO anaona aibu?
hapo ni manispaa ambako wachokonozi ni wengi,vp huko duniani ambako hata mwl kumtazama DEO anaona aibu?