Mhonzuyadilu
Senior Member
- Oct 28, 2012
- 156
- 53
nikiwa namsikiliza kwa makini kabisa Waziri wa Katiba na sheria at Startvhabari akifafanua jinsi mzee Warioba atakapokuja na mapendekezo yake mapya ya katiba mpya, yeye badala ya kusema Mzee Warioba atawasilisha mapendekezo ya katiba mpya kwa rais Kikwete yeye anakomaa na neno atawakilisha.Hawa ndo mawaziri wetu kiswahili tu shida sasa hizo sheria huko ndani vipi na nyingi ni English drafting.Gt munasemaje hapo wakuu.