Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Katika ule msemo usemao usipoziba ufa utajenga ukuta..baada ya majuzi kuzima usiku na kufanya watu washindwe kutua na kuruka sasa ni masaa ma4 airport nzima imezimwa na kila ofisi watu wamekimbia kutokana na giza akuna taa wala
comp wala printer zinazofanya kazi
waheshimiwa mnaohusika mnatusaidiaje na hili jamani kwa kuwa ni aibu ya taifa na ikifika usiku kwa hali hii ni kituko kingine tunakitengeneza jamani.....ifike wakati tujiandae kwa matatizo kama haya nionavyo watu wanajifanya kuzunguka huku na kule na baya zaidi jenereta linawaka kama kawaida moto auji sasa sijui litaendelea mpaka wapi
walipoulizwa wapi director wa taa wakasema anasoma masters so huwa anaingia jioni tu
hii ni aibu kumpa mtu madaraka makubwa kama haya huku akishinda shule je tatizo la yeyey kuchelewa kusoma na leo hii anashindwa kutumikia majukumu yake nani aadhibiwe ???m nahisi ni vizuri kuwaangalia haawa elimu zao kabla ya kugawa tu vyeo matokeo yake anakutana na watu wenye masters wanamkimbiza anaamua kuona aibu kuanza kusoma uzeeni na kushindwa kufanya majukumu yake jamani embu tusaidieni
wakuu wa wizara embu tusaidieni kwa hili
comp wala printer zinazofanya kazi
waheshimiwa mnaohusika mnatusaidiaje na hili jamani kwa kuwa ni aibu ya taifa na ikifika usiku kwa hali hii ni kituko kingine tunakitengeneza jamani.....ifike wakati tujiandae kwa matatizo kama haya nionavyo watu wanajifanya kuzunguka huku na kule na baya zaidi jenereta linawaka kama kawaida moto auji sasa sijui litaendelea mpaka wapi
walipoulizwa wapi director wa taa wakasema anasoma masters so huwa anaingia jioni tu
hii ni aibu kumpa mtu madaraka makubwa kama haya huku akishinda shule je tatizo la yeyey kuchelewa kusoma na leo hii anashindwa kutumikia majukumu yake nani aadhibiwe ???m nahisi ni vizuri kuwaangalia haawa elimu zao kabla ya kugawa tu vyeo matokeo yake anakutana na watu wenye masters wanamkimbiza anaamua kuona aibu kuanza kusoma uzeeni na kushindwa kufanya majukumu yake jamani embu tusaidieni
wakuu wa wizara embu tusaidieni kwa hili