mnamo tar 23/07/2016 ccm itaendeleza utamaduni wake Wa kizamani na ambao umepitwa na wakati Wa kuchagua kiongozi mkuu Wa chama kwa kumpigia kura ya ndio au hapana. nakumbuka kura ya aina hii ilikuwa ikitumiwa enzi zileeeeee ambapo ulikuwa unakuta picha ya Nyerere tu na sehemu nyingine kivuli tu.
Haya yamesemwa na msemaji Wa ccm
Sendeka: Mkutano Mkuu wa CCM siyo wa kupokezana vijiti Bali ni wa Kuchagua Mwenyekiti wa Chama ambaye Lazima Apate Kura za Ndiyo Zaidi ya Nusu | MPEKUZI
Haya yamesemwa na msemaji Wa ccm
Sendeka: Mkutano Mkuu wa CCM siyo wa kupokezana vijiti Bali ni wa Kuchagua Mwenyekiti wa Chama ambaye Lazima Apate Kura za Ndiyo Zaidi ya Nusu | MPEKUZI