Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
mimi nawashangaa sana
wengi wenu majieleza mnavyoweza kutengeneza website za watu,mbona hamtuwekei mlizotengeneza
wengi wenu mnakimbilia kwenye vya bure,blogspot,wordpress nk kwa nini
mfano ni huyu bwana ninayemuheshimu sana katika jukwaa hili kumbe naye ndo hivyo tena
mcheki ni MziziMkavu
wengi wenu majieleza mnavyoweza kutengeneza website za watu,mbona hamtuwekei mlizotengeneza
wengi wenu mnakimbilia kwenye vya bure,blogspot,wordpress nk kwa nini
mfano ni huyu bwana ninayemuheshimu sana katika jukwaa hili kumbe naye ndo hivyo tena
mcheki ni MziziMkavu