Si bora hata hivyo vimakala vingekuwa vina last kidogo, wanaandika siku mbili ya tatu wamesahau. Nani anaandika ya Mwangosi tena?Badala ya kuchukua hatua madhubuti, wanabaki tu kuandikaandika vimakala vya kuilaani serikali!! Makala!
Mkuu,
Nadhani hili haliwezi likamhusisha mwandishi mmojammoja, lakini
litahusisha tasnia nzima ya habari. Namaanisha kuwa, hata kama wapo
wanaojitambua, bado hawajachukua hatua madhubuti za kuwaunganisha
waandishi wote na kuchukua hatua kali zaidi licha ya wao kuandika makala
mbalimbali. Swala la uuaji wa waandishi, utekaji na utesaji si la
kuandikiwa makala tu, ni swala la hatua zaidi ya hiyo
Wajinga njaa zimewajaa tumboni. Hata Jerry Mulo nasikia walimlipua wenyewe kwa Wenyewe hata hii ya kibanda wako kimya.
Hivi Jerry mulo Yuko wapi? Siamini km alitulizwa