namanyele
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,852
- 608
:msela:mkuu taarifa yako ni nzuri san pia ina mashiko sana,siwalaumu waandishi wa habari peke yao bali hata sisi raia wengine tuna asili ya unafiki na uwoga uliokirithiri,tumejijengea utamaduni kwamba huwezi kushinadana na serikali kwa lolote,yaani watanzania wote tumekuwa mabwege wa hali ya juu kwa serikali yetu....kuna kitabu kinaitwa "I WILL MARRY WHEN I WANT " kimeandikwa na Ngugi Wa Thiong na Mirii,yalioandikwa mle ndani maudhui yake yanasadifu asilimia 100 na serikali yetu ya Tanzania inavyowatendea wananchi wake,
ngoja niishie hapo maana machozi yameanza kunitoka
ngoja niishie hapo maana machozi yameanza kunitoka