AIbu kwa nchi ya Tanzania kwa WEBSITE Muhimu kama ya TCU kutofunguka japo kuna mtu analipwa

Ta Muganyizi

R I P
Oct 19, 2010
5,361
2,734
Habari wadau. Kuna wakati mwingine nchi yetu haifanyi vitu vilivyokuwa na serious. Sasa website muhimu hapa nchini kama www.tcu.go.tz kutofunguka kwa kipindi hiki ambacho vijana wetu wako wanahangaika kujua walau future yao itakuwaje, ni aibu. Nina Imani kuna mtaalam analipwa lakini atakuwa anakula bata tu.

Ngoja tuone tutafika wapi.
 
Website za tanzania hasa hizi za .go.tz ni za hovyo sana.
Habari wadau. Kuna wakati mwingine nchi yetu haifanyi vitu vilivyokuwa na serious. Sasa website muhimu hapa nchini kama www.tcu.go.tz kutofunguka kwa kipindi hiki ambacho vijana wetu wako wanahangaika kujua walau future yao itakuwaje, ni aibu. Nina Imani kuna mtaalam analipwa lakini atakuwa anakula bata tu.

Ngoja tuone tutafika wapi.
 
Habari wadau. Kuna wakati mwingine nchi yetu haifanyi vitu vilivyokuwa na serious. Sasa website muhimu hapa nchini kama www.tcu.go.tz kutofunguka kwa kipindi hiki ambacho vijana wetu wako wanahangaika kujua walau future yao itakuwaje, ni aibu. Nina Imani kuna mtaalam analipwa lakini atakuwa anakula bata tu.

Ngoja tuone tutafika wapi.
tcu ni nini?
 
Huenda hazijalipiwa au zimejaa zinahitaji kupunguzwa mafaili. Nimeongia website kama mbili kila nikitataka download dodoso lao inalataa
 
Habari wadau. Kuna wakati mwingine nchi yetu haifanyi vitu vilivyokuwa na serious. Sasa website muhimu hapa nchini kama www.tcu.go.tz kutofunguka kwa kipindi hiki ambacho vijana wetu wako wanahangaika kujua walau future yao itakuwaje, ni aibu. Nina Imani kuna mtaalam analipwa lakini atakuwa anakula bata tu.

Ngoja tuone tutafika wapi.
Hakuna website ya serikali ambayo ni user friendly
 
Habari wadau. Kuna wakati mwingine nchi yetu haifanyi vitu vilivyokuwa na serious. Sasa website muhimu hapa nchini kama www.tcu.go.tz kutofunguka kwa kipindi hiki ambacho vijana wetu wako wanahangaika kujua walau future yao itakuwaje, ni aibu. Nina Imani kuna mtaalam analipwa lakini atakuwa anakula bata tu.

Ngoja tuone tutafika wapi.
Mbona nyingi zimetengenezwa kama wahusika walikuwa wanafanya majaribio?
 
Habari wadau. Kuna wakati mwingine nchi yetu haifanyi vitu vilivyokuwa na serious. Sasa website muhimu hapa nchini kama www.tcu.go.tz kutofunguka kwa kipindi hiki ambacho vijana wetu wako wanahangaika kujua walau future yao itakuwaje, ni aibu. Nina Imani kuna mtaalam analipwa lakini atakuwa anakula bata tu.

Ngoja tuone tutafika wapi.
Mnahangaika nini na TCU saizi, wakati hata matokeo bado...kijana wako mwenyewe ukute hajakidhi vigezo
 
Back
Top Bottom