Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Matukio ya jana na leo katika mji wa Ukombozi wa Arusha umeianika serikali ya CCM bila nguo mbele ya mgeni wao kutoka nchi tunakotembezea bakuli hali nchi yetu ni tajiri.
Kikubwa zaidi yanaonyesha mji huo ni kama vile CCM imekwisha kabisa hali iliyojitokeza tangu uchaguzi wa mwaka jana. Wanachofanya ni kutumia polisi kujaribu eti waonekane CCM bado ipo hapo.
Ni aibu kubwa sana kwa CCM kupoteza mji waliokuwa wanaringa nao wa kitalii na mikutano ya kimataifa.
Serikali ya magamba imejaribu kutumia nguvu kubwa tangu uchaguzi mkuu, uchaguzi wa meya, na hadi sasa lakini wanaArusha wako imara sana.
Kikubwa zaidi yanaonyesha mji huo ni kama vile CCM imekwisha kabisa hali iliyojitokeza tangu uchaguzi wa mwaka jana. Wanachofanya ni kutumia polisi kujaribu eti waonekane CCM bado ipo hapo.
Ni aibu kubwa sana kwa CCM kupoteza mji waliokuwa wanaringa nao wa kitalii na mikutano ya kimataifa.
Serikali ya magamba imejaribu kutumia nguvu kubwa tangu uchaguzi mkuu, uchaguzi wa meya, na hadi sasa lakini wanaArusha wako imara sana.