malkiamrembo
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 386
- 231
Ni Aibu kuu tumedhalilishwa sana watanzania pamoja na wanawake wengine wooote kwa alichokifanya Dada Faiza, kupitia page ya Mange Kimambi Instagram, kutoa na kuonyesha hadharani Chupi yake iliyochanika na kuongea mambo yana ndani sana ya mwanamke sambamba na kuzitaja sehemu za siri, Serikali na mamlaka husika tunaomba mzingatie hili kwakweli iwe fundisho kwa watu wengine ni aibuu kuu.....
Naomba wajuzi muweke link hapa ili watu wajioneee mm sina ujuzi wa kuweka link ya Instagram...
Ni video mbaya kwa maadili yetu.
Source:
Page ya Mange Kimambi Instagram
Naomba wajuzi muweke link hapa ili watu wajioneee mm sina ujuzi wa kuweka link ya Instagram...
Ni video mbaya kwa maadili yetu.
Source:
Page ya Mange Kimambi Instagram