- Thread starter
- #241
Hizo gharama zimeangazia maeneo ya mijini zaidi. Na hata mtindo wa kilimo ni ule wa kidotCom zaidi. Huku kwetu vijijini tunajieleza tu kwa wazee wenye mashamba yao wanaturuhusu tulime bure. Na hatutumii pump kumwagilia. Tunabeba vidoo mwanzo mwisho. Na mwisho wa siku tunavuna.Acre kukodi ni 150K mpaka 200K kulingana na location yake na umbali toka mtoni.
Kilimo cha sasa hulimi na mkono! Trekta kukusafishia ni 50K-80K per acre!
Madawa nayo yanaweza kutafuna almost 150K kwa wastani pamoja na vifaa vya kukodi vile kwa msimu mzima!
Petrol pump na mpira lazma ukodishe.
Kupanda lazma ulipe watu.
Kipindi cha palizi lazma ulipe watu.
Kuvuna lazma ulipe watu.
Hizo zote ni gharama hamna power ilanda au hawafu mwenye nguvu wa kulima heka 1 au 2 peke yako! Hela lazma itumike ili ulime kwa ufasaha!
Hapo sijagusa gharama za usafiri kufata madawa, wewe kusavaivu shamba lazma ule na unywe maji ikibidi uende hospitalini.
Nani wakukupa hizo hela atleast 3M unaweza lima kitu cha maana kidogo!
Tena huwa tunaingia mkataba na vijana wa kitaa wa kumwagilia mpk mavuno halafu malipo wakati wa mavuno. Kijijini raha sana