Aibu kubwa! Msomi unakosaje kazi ya kufanya nchi hii yenye kila aina ya rasilimali?

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,530
50,281
Hivi wewe ambaye unajiita umesoma halafu unalalamika kuwa huna kazi, unafahamu kwamba unajidhalilisha?

Acha wakose kazi vijana wa Ulaya na Marekani huko lkn siyo hapa Tanzania. Ardhi yenye rutuba isiyohitaji mbolea imejaa tele kwann usijiajiri kwenye kilimo?

Ardhi ya bure ipo tele katika mikoa ya Tabora, Katavi, Tanga, Ruvuma, n.k.

Kwani lazima ukae mjini? Mbona watanzania zaidi ya 80% wamejiajiri ktk kilimo tena wengi wao hawana madigrii kama ninyi lkn maisha yanasonga na ni watulivu wala hawapigi kelel za kukosa ajira.

Wengi wenu mmesomeshwa na wazazi wenu ambao ni wakulima wasiokuwa na elimu. Hawajawahi kuajiriwa na yeyote maisha yao yote.

Mmerogwa na nani ninyi mnaoenda shule? Kama hizi shule na vyuo mnavyoenda ndiyo vinawapeni huu ujinga mm nashauri zifutwe.

Kuna vijana chungu nzima walioishia darasa la saba wanaendeleza maisha kwa kilimo na shughuli nyingine hatusikii wakililia ajira. Wewe msomi umesoma halafu unalia. Usingesoma je? Jinga kabisa!

Screenshot_20211014-150858.png
 
Zama zimebadilika. Nao wabadilike,vinginevyo wataishia kudeki na kufua nguo za mashemeji zao huku wakiwa na miaka 30
Nikweli,lakini kila nikiangalia mfano dsm pamekuwa pagumu sana....kuna baadhi niliwajua walijiajiri kama machinga ila jana wamebomoa kutokana na kinachoendelea......kuna changamoto kubwa zaidi inakuja zaidi ya iliyopo
 
Hivi wewe ambaye unajiita umesoma halafu inalalamika kuwa huna kazi, unafahamu kwamba unajidhalilisha?

Acha wakose kazi vijana wa Ulaya na Marekani huko lkn siyo hapa Tanzania. Ardhi yenye rutuba isiyohitaji mbolea imejaa tele kwann usijiajiri kwenye kilimo?

Ardhi ya bure ipo tele katika mikoa ya Tabora, Katavi, Tanga, Ruvuma, n.k.
Kwani lazima ukae mjini? Mbona watanzania zaidi ya 80 wamejiajiri ktk kilimo tena wengi wao hawana madigrii kama ninyi lkn maisha yanasonga na ni watulivu wala hawapigi kelel za kukosa ajira.

Wengi wenu mmesomeshwa na wazazi wenu ambao ni wakulima wasiokuwa na elimu. Hawajawahi kuajiriwa na yeyote maisha yao yote.

Mmerogwa na nani ninyi mnaoenda shule? Kama hizi shule na vyuo mnavyoenda ndiyo vinawapeni huu ujinga mm nashauri zifutwe.

Kuna vijana chungu nzima walioishia darasa la saba wanaendeleza maisha kwa kilimo na shughuli nyingine hatusikii wakililia ajira. Wewe msomi umesoma halafu unalia. Usingesoma je? Jinga kabisa!

View attachment 1974112
Kama kilimo kingekuwa kinalipa,basi mikoa ya Kanda ya ziwa,nyanda za juu kusini ingeongoza kwa kipato kimkoa na mchango kwenye pato la Taifa,lakini unajua mkoa unaoongoza?ni Dar es salaam,mkoa ambao hauna shughuri kubwa za kilimo lakini unachangia asilimia 80 ya pato la Taifa!!
Kwa kila shilingi 100 inayoingizwa kwenye mfuko wa Taifa,asilimia 80 inatoka Dar!!hiyo mikoa inayolima ipo wapi??
Hoja zako kwamba vijana wakiomaliza vyuo waende mikoani,wakamate ardhi(ambayo ipo bwelele)walime,zimekaa kinadhalia tu na ni story za kwenye makaratasi hazina uhusiano na Hari halisi iliyopo kwenye mazingira yao.
Huwezi kutoka hapa ukaenda Katavi,ukachukua ardhi,ukaanza kulima mahindi,ukavuna!na ukapiga pesa ndeefu!?
Mfuko wa mbolea unauzwa 100000Tsh,gunia la mahindi linauzwa 20000Tsh!
 
Kama kilimo kingekuwa kinalipa,basi mikoa ya Kanda ya ziwa,nyanda za juu kusini ingeongoza kwa kipato kimkoa na mchango kwenye pato la Taifa,lakini unajua mkoa unaoongoza?ni Dar es salaam,mkoa ambao hauna shughuri kubwa za kilimo lakini unachangia asilimia 80 ya pato la Taifa!!
Kwa kila shilingi 100 inayoingizwa kwenye mfuko wa Taifa,asilimia 80 inatoka Dar!!hiyo mikoa inayolima ipo wapi??
Hoja zako kwamba vijana wakiomaliza vyuo waende mikoani,wakamate ardhi(ambayo ipo bwelele)walime,zimekaa kinadhalia tu na ni story za kwenye makaratasi hazina uhusiano na Hari halisi iliyopo kwenye mazingira yao.
Huwezi kutoka hapa ukaenda Katavi,ukachukua ardhi,ukaanza kulima mahindi,ukavuna!na ukapiga pesa ndeefu!?
Mfuko wa mbolea unauzwa 100000Tsh,gunia la mahindi linauzwa 20000Tsh!
Kilimo cha mdomo rahis kweli sio cha shambani. Ukodishe shamba kama huna, utafute vibarua, ununue mbegu, mbolea hii inayopanda kila siku, madawa, sumu za wadudu, booster. Hapo bado hujaibiwa
 
Kilimo cha mdomo rahis kweli sio cha shambani. Ukodishe shamba kama huna, utafute vibarua, ununue mbegu, mbolea hii inayopanda kila siku, madawa, sumu za wadudu, booster. Hapo bado hujaibiwa
Kwahiyo mnaona bora msomi afue boksa za shemeji yake?
 
Mkuu Unafikir hatulimi sasa mtu unalima na mahindi unapata ya kutosha ila sasa changamoto n nying kuliko faida mkuu mm n mwenyej wa mbeya ukiacha mbali madawa na mbolea ukija kupiga usafir ukija kupiga vibarua ukija kupiga tozo kod haya unataka kuuza Unakuta gunia ef 30 soko market n tatizo pia
 
Mkuu Unafikir hatulimi sasa mtu unalima na mahindi unapata ya kutosha ila sasa changamoto n nying kuliko faida mkuu mm n mwenyej wa mbeya ukiacha mbali madawa na mbolea ukija kupiga usafir ukija kupiga vibarua ukija kupiga tozo kod haya unataka kuuza Unakuta gunia ef 30 soko market n tatizo pia
Nafurahi kusikia umethubutu na umeweza. Wewe kazi yako moja tu imebakia, kushughulikia changamoto ya soko. Hongera!
 
Mkuu Unafikir hatulimi sasa mtu unalima na mahindi unapata ya kutosha ila sasa changamoto n nying kuliko faida mkuu mm n mwenyej wa mbeya ukiacha mbali madawa na mbolea ukija kupiga usafir ukija kupiga vibarua ukija kupiga tozo kod haya unataka kuuza Unakuta gunia ef 30 soko market n tatizo pia
Hapo sasa. Kwanza mbolea inavyopanda kila siku wakulima wengi watashindwa kulima tena. Na ili upate mazao mazuri mbolea muhimu. Labda wakulima wakipungua demand itakua kubwa supply kidogo bei za vyakula zitapanda mkulima atafaidi ila consumer atakoma.
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom