Aibu kubwa! Msomi unakosaje kazi ya kufanya nchi hii yenye kila aina ya rasilimali?

Nani alikwambia maisha ni kilimo pekee? Punguza ushamba kijana.
Najua kuna nyanja nyingi za kutafuta pesa. Lkn mada yangu imeangazia kilimo kama sehemu mojawapo ya kuwafanya wasomi wasiendelee kubweteka na kukaa kwa mashemeji zao wakifua boksa kusubiria ajira kwa miaka mingi.
 
Hivi wewe ambaye unajiita umesoma halafu unalalamika kuwa huna kazi, unafahamu kwamba unajidhalilisha?

Acha wakose kazi vijana wa Ulaya na Marekani huko lkn siyo hapa Tanzania. Ardhi yenye rutuba isiyohitaji mbolea imejaa tele kwann usijiajiri kwenye kilimo?

Ardhi ya bure ipo tele katika mikoa ya Tabora, Katavi, Tanga, Ruvuma, n.k.

Kwani lazima ukae mjini? Mbona watanzania zaidi ya 80% wamejiajiri ktk kilimo tena wengi wao hawana madigrii kama ninyi lkn maisha yanasonga na ni watulivu wala hawapigi kelel za kukosa ajira.

Wengi wenu mmesomeshwa na wazazi wenu ambao ni wakulima wasiokuwa na elimu. Hawajawahi kuajiriwa na yeyote maisha yao yote.

Mmerogwa na nani ninyi mnaoenda shule? Kama hizi shule na vyuo mnavyoenda ndiyo vinawapeni huu ujinga mm nashauri zifutwe.

Kuna vijana chungu nzima walioishia darasa la saba wanaendeleza maisha kwa kilimo na shughuli nyingine hatusikii wakililia ajira. Wewe msomi umesoma halafu unalia. Usingesoma je? Jinga kabisa!

View attachment 1974112
Shiba hupunguza uwezo wa kufikiri, na aliyeshiba hakumbuki mwenye njaaaa
 
Shiba hupunguza uwezo wa kufikiri, na aliyeshiba hakumbuki mwenye njaaaa
Utoke chuo kikuu, unaenda songwe,au kyelwa, unakuta ardhi bwelelee! Unajipimia, unalima, unavuna, mazao yako, mifumo ipo Bora, unapata pesa yako chap chap, ndani ya miaka mitano,una Jenga hekalu Lako na unanunua ndinga!
Kama kilimo kinalipa, hao, asilimia 80 mbona maisha yao hayabadiriki.
Acha kuongea nadharia ukiwa umekaa kwenye sofa, una gonga mvinyo, na
 
Back
Top Bottom