Aibu kubwa CCM -- kukimbiwa na Diwani wake?

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
234
Makamba uko wapi? Uko enzi gani -- enzi za Mchonga? Huoni kabisa CCM yako inapukutika kutokana na udhalimu, ufisadi na kukiuka haki?

Au utasema mlisahau kumhonga huyo Diwani abakie CCM? Speak up man -- you are really finished!! KAPUT kabisa!!!!
 
Au utasema mlisahau kumhonga huyo Diwani abakie CCM?

Mkuu, umeanza vizuri ukamalizia vibaya. Unataka madiwani wa sisiemu wagawane hongo ili tuendelee kunyanyasika? Madiwani wote wa sisiemu hameni hata kama mtahongwa, onyesheni uzalendo!
 
Makamba uko wapi? Uko enzi gani -- enzi za Mchonga? Huoni kabisa CCM yako inapukutika kutokana na udhalimu, ufisadi na kukiuka haki?

Au utasema mlisahau kumhonga huyo Diwani abakie CCM? Speak up man -- you are really finished!! KAPUT kabisa!!!!



Incomplete information tujuzeni vyema kahama Diwani wapi na nani?
 
Makamba uko wapi? Uko enzi gani -- enzi za Mchonga? Huoni kabisa CCM yako inapukutika kutokana na udhalimu, ufisadi na kukiuka haki?

Au utasema mlisahau kumhonga huyo Diwani abakie CCM? Speak up man -- you are really finished!! KAPUT kabisa!!!!

Diwani kutoka katika kipindi hiki kinawaweka pagumu ccm huko arusha na kuashiria kuwa moto haujaisha
 
Makamba uko wapi? Uko enzi gani -- enzi za Mchonga? Huoni kabisa CCM yako inapukutika kutokana na udhalimu, ufisadi na kukiuka haki?

Au utasema mlisahau kumhonga huyo Diwani abakie CCM? Speak up man -- you are really finished!! KAPUT kabisa!!!!

Kwani hao kina Slaa, Mbowe na wengine wote, wametokea wapi? walishushwa kutoka Mbinguni kwa uzi wa buibui? Si walitokea CCM?

Magugu uyaache kwenye shamba? kuna mazao hapo?
 
Makamba uko wapi? Uko enzi gani -- enzi za Mchonga? Huoni kabisa CCM yako inapukutika kutokana na udhalimu, ufisadi na kukiuka haki?

Au utasema mlisahau kumhonga huyo Diwani abakie CCM? Speak up man -- you are really finished!! KAPUT kabisa!!!!

wanadhani ni enzi zile walipokuwa wanaropokaropoka tu na wananchi wanakaa kimya! This is a new phase!!!
 
Gazeti la Mwananchi (jana) lina habari ya Mh Mawazo ambaye alihamia CCM mapema mwaka juzi akitokea TLP akiwa diwani wa kata hiyo, alisema kwa muda mrefu amekuwa akiunga mkono sera za Chadema na sera binafsi za aliyekuwa mgombea wa urais wa chama hicho, Dk Willibroad Slaa.

"Naomba niwaeleze wazi kuwa hata katika Uchaguzi Mkuu ingawa mimi nilikuwa mgombea wa udiwani wa CCM, nilimchagua Dk Slaa kwa nafasi ya urais," alisema Mawazo katika mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Dk Slaa.

Swali langu je ni wangapi ambao wapo CCM ambao ama ni wanachama wa kawaida, au ni wabunge, mawaziri, watumishi wa chama wanaounga mkono hoja za Dr W. Slaa (CDM), au Prof I Lipumba (CUF)? Kama kweli kuna watu kama Mh Mawazo ndani ya CCM na ni sizable enough, basi ndani ya bunge la JMT, the majority sio CCM. Kama ikipigwa kura ya kutokuwa na imani na rais inaweza kupita.

Watu wanaanza kuelewa, kuamua na kutenda.
 
Kwani hao kina Slaa, Mbowe na wengine wote, wametokea wapi? walishushwa kutoka Mbinguni kwa uzi wa buibui? Si walitokea CCM?

Magugu uyaache kwenye shamba? kuna mazao hapo?


Siyo hii CCM; au unadhani CCM ni nyumba? Chama cha siasa siyo Nyumba wala jina walojiita, unaweza ukakuta hiyo CCM unayoisema wewe haipo kabisa au imekufa au ndio CUF au ndio NCCR au TLP au ndio CDM; chama ni Itikadi, Viongozi wake, wanachama wake, katiba yake, taratibu zake za kuiongoza nchni;
Mathalan,
Zamani wakati Mwl Nyerere, CCM ya wakati huo ilikuwa na utaratibu wa kupishanisha wagombea Urais wa Muungano, kwamba Rais aliyepita akitoka Bara awamu inayofuata wanachama wa Bara hawajitokezi wana waachia wanachama wa Zenji, lakini utaratibu huo ulishindikana baada ya hiyo CCM ya wakati ule kufa, hii mpya haina utaratibu huo;

au kwa fikira zako

Unadhani leo hii Kikwete na Ridhiwani wakijitoa CCM hii ya sasa na kuunda chama chao cha siasa, Mwenyekiti Kikwete, katibu Makamba, Mweka hazina yule wa CCM hii 2005/6, katibu wa vijana Ridhiwani na Mwenyekiti wa Vijana Beno; lete matoke yako ya uchaguzi wa Rais kama uko timamu na ni Mtanzania maana nisije nikawa napoteza muda kuelimisha Mhajemi au M-Iraq au M-india au M-.....mwenye asili ya CCM
 
Siyo hii CCM; au unadhani CCM ni nyumba? Chama cha siasa siyo Nyumba wala jina walojiita, unaweza ukakuta hiyo CCM unayoisema wewe haipo kabisa au imekufa au ndio CUF au ndio NCCR au TLP au ndio CDM; chama ni Itikadi, Viongozi wake, wanachama wake, katiba yake, taratibu zake za kuiongoza nchni;
Mathalan,
Zamani wakati Mwl Nyerere, CCM ya wakati huo ilikuwa na utaratibu wa kupishanisha wagombea Urais wa Muungano, kwamba Rais aliyepita akitoka Bara awamu inayofuata wanachama wa Bara hawajitokezi wana waachia wanachama wa Zenji, lakini utaratibu huo ulishindikana baada ya hiyo CCM ya wakati ule kufa, hii mpya haina utaratibu huo;

au kwa fikira zako

Unadhani leo hii Kikwete na Ridhiwani wakijitoa CCM hii ya sasa na kuunda chama chao cha siasa, Mwenyekiti Kikwete, katibu Makamba, Mweka hazina yule wa CCM hii 2005/6, katibu wa vijana Ridhiwani na Mwenyekiti wa Vijana Beno; lete matoke yako ya uchaguzi wa Rais kama uko timamu na ni Mtanzania maana nisije nikawa napoteza muda kuelimisha Mhajemi au M-Iraq au M-india au M-.....mwenye asili ya CCM

Kama unayajuwa hayo, kinachokushangaza nini ikiwa mmoja au mwingine atahama CCM na kwenda kwingine, hali kadhalika tumeona wengi tu wakiondoka vyama vingine na kurudi CCM, Maghimbi?
 
Makamba uko wapi? Uko enzi gani -- enzi za Mchonga? Huoni kabisa CCM yako inapukutika kutokana na udhalimu, ufisadi na kukiuka haki?

Au utasema mlisahau kumhonga huyo Diwani abakie CCM? Speak up man -- you are really finished!! KAPUT kabisa!!!!

huyu jamaa siku zote alikuwa mpinzani so sioni cha ajabu. Alikuwa diwani wa upinzani ndipo mbunge na katibu wa ccm wakamnunua hivyo nahisi yule yule mbunge kamnunua arudie upinzani. si mnajua mbunge mrema na mzee kileo bado wana chuki binafsi
 
Kwani hao kina Slaa, Mbowe na wengine wote, wametokea wapi? walishushwa kutoka Mbinguni kwa uzi wa buibui? Si walitokea CCM?

Magugu uyaache kwenye shamba? kuna mazao hapo?
Sizitaki mbichi hizi.
 
wanasema changes come from within... hata slaa alitoka huko huko baada ya kushindwa kuvumilia uozo.

bado tunamsubiri sitta nae achomoke huko.. ukiwa na mapenzi na taifa hili huwezi kua ndani ya ccm katu
 
Wameisha zoea aibu hao,... hata uwaambieje!!
We angalia kuna aibu gani kubwa kwa chama kama CCM kuwa na Mwenyekiti mbovu kama Kikwete! yaani eti CCM nzima JK ndio JINIASI!!!! Aibu, aibu, ilhali ni kimeo cha karne!!
 
wanasema changes come from within... hata slaa alitoka huko huko baada ya kushindwa kuvumilia uozo.

bado tunamsubiri sitta nae achomoke huko.. ukiwa na mapenzi na taifa hili huwezi kua ndani ya ccm katu
Wapo wengi lakini wanavumilia uozo ndani ya chama chao...........wapo kimaslahi zaidi!
 
Back
Top Bottom