Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Makamba uko wapi? Uko enzi gani -- enzi za Mchonga? Huoni kabisa CCM yako inapukutika kutokana na udhalimu, ufisadi na kukiuka haki?
Au utasema mlisahau kumhonga huyo Diwani abakie CCM? Speak up man -- you are really finished!! KAPUT kabisa!!!!
Au utasema mlisahau kumhonga huyo Diwani abakie CCM? Speak up man -- you are really finished!! KAPUT kabisa!!!!