Aibu: Kina mama watu wazima wadakwa wakijiuza

RICH OIL SHEIKH

JF-Expert Member
Jan 2, 2012
883
167


Na Richard Bukos

INASIKITISHAJE? Wakati wenzao wakijituma kufanya kazi ili kusukuma mbele gurudumu la maisha, akina mama wenye umri uliosogea, ambao ni mama zetu, wamenaswa laivu wakifanya biashara haramu ya kuuza miili yao.

WANASWA ENEO LA WAZI
Katika oparesheni iliyoendeshwa na jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita, akina mama hao walitiwa nguvuni baada ya kukutwa wakijiuza katika eneo la wazi, Buguruni Kimboka jijini Dar es Salaam.
Majina ya wanawake hao na umri wao katika mabano ni Sauda Mussa (52), Jacqueline Francis (40), Laurencia Rafael (40) na Grace Robinson (40).

WANA BIFU NA MABINTI WADOGO
Kwa mujibu wa wenzao ambao hawakunaswa, waliozungumza na paparazi wetu bila kujua, akina mama hao wamekuwa wakijihusisha na biashara hiyo tangu kitambo na kwamba huwa wana bifu na mabinti wadogo wanaojiuza.

PURUKUSHANI ZA KUKAMATWA
Uchunguzi wa Amani ulibaini kuwa katika eneo hilo, kuna akina mama wengi wanaojiuza na hao waliokamatwa ni wale walioshindwa kuwakimbia polisi katika purukushani ya kukamatwa.

INASIKITISHA
Kwa umri wa akina mama hao, vijana wa Kamanda Suleiman Kova waliowanasa walisema kuwa ni tukio la aibu na la kusikitisha kwani walipaswa kutulia nyumbani na kula matunda ya watoto wao au kujihusisha na shughuli nyingine za ujenzi wa taifa.

KUPANDISHWA KIZIMBANI
Baada ya kukamatwa, akina mama hao walitarajiwa kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Jiji la Dar es Salaam, Sokoine Drive, Februari 27, mwaka huu kujibu shitaka hilo.

Global publishers.
 
Mbona wamevaa kiswahili swahili ila majina yao ni ya wale 'wasomi'?
 
Maisha magumu wafanyeje? JK si aliwahaidi Maisha bora kwa kila Mtanzania?
 
Police wanafanya kazi nzuri sana. Tunaomba muendelee na huo ujasiri wa kutupunguzia aibu
 


Na Richard Bukos

INASIKITISHAJE? Wakati wenzao wakijituma kufanya kazi ili kusukuma mbele gurudumu la maisha, akina mama wenye umri uliosogea, ambao ni mama zetu, wamenaswa laivu wakifanya biashara haramu ya kuuza miili yao.

WANASWA ENEO LA WAZI
Katika oparesheni iliyoendeshwa na jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita, akina mama hao walitiwa nguvuni baada ya kukutwa wakijiuza katika eneo la wazi, Buguruni Kimboka jijini Dar es Salaam.
Majina ya wanawake hao na umri wao katika mabano ni Sauda Mussa (52), Jacqueline Francis (40), Laurencia Rafael (40) na Grace Robinson (40).

WANA BIFU NA MABINTI WADOGO
Kwa mujibu wa wenzao ambao hawakunaswa, waliozungumza na paparazi wetu bila kujua, akina mama hao wamekuwa wakijihusisha na biashara hiyo tangu kitambo na kwamba huwa wana bifu na mabinti wadogo wanaojiuza.

PURUKUSHANI ZA KUKAMATWA
Uchunguzi wa Amani ulibaini kuwa katika eneo hilo, kuna akina mama wengi wanaojiuza na hao waliokamatwa ni wale walioshindwa kuwakimbia polisi katika purukushani ya kukamatwa.

INASIKITISHA
Kwa umri wa akina mama hao, vijana wa Kamanda Suleiman Kova waliowanasa walisema kuwa ni tukio la aibu na la kusikitisha kwani walipaswa kutulia nyumbani na kula matunda ya watoto wao au kujihusisha na shughuli nyingine za ujenzi wa taifa.

KUPANDISHWA KIZIMBANI
Baada ya kukamatwa, akina mama hao walitarajiwa kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Jiji la Dar es Salaam, Sokoine Drive, Februari 27, mwaka huu kujibu shitaka hilo.

Global publishers.

Jina halina uhusiano na usomi!Mbona Profesa Ali Mazrui ana jina la Kiswahili ni msomi anayeheshimika katika Afrika?
 
I dont see anything dramatic here,kwa maisha gani hapa bongo hao wasijiuze?Na bado....utasikia na wengine usiowatarajia wako kimboka.Life linazidi kuuma,angalia bei ya gas na bidhaa nyingine za home.
 
Vyombo vya dola mko wepesi sana kukamata watu wenye vi-kosa vidogo vidogo. Kamateni mafisadi waliojaribu kumwua Dr. Mwakyembe, walioiba pesa za EPA, walioiba pesa zetu na wakakiri waliiba (Pan African Energy), etc. Hamna hata aibu kukimbizana na wenye hatia ndogo ndogo? Mnanichosha!
 
Hawa kama wazazi wetu kabisa lakini utaona wateja ni vijana wanakula tiGo dahh kwa bei chee
 
Inaonekana wewe ni mteja wao mzuri sana.

Hivi ni kweli jamani???? Mbona hawajavaa design ya kujiuza???? Au ndio wamebambikiwa kesi??? manake nchi hii ina vituko vingi ......labda wamekutwa wanaongea ........kwani biashara ya kujiuza ni ENEO LA WAZI NDIO IKO??? Mie siamini - hawa polisi/mgambo saa ingine "reasoning capacity yao ni low" labda walitaka kujieleza wakaambiwa HAKUNA TWENDE KITUONI............ni ilikuwa ni usiku au mchana?????

HADI KINA MAMA HAO WAMEFIKIA MASWAIBA HAYA.........KWELI TANZANIA INACHOSHA

NAWAPA POLE KINA MAMA WA WATU ......WANATAFUTA LABDA CHAKULA CHA WATOTO ...... MUNGU TUSAIDIE WATANZANIA :shock::A S embarassed:
 
wangapi wanajiuza maofisini na vilabuni vya pombe na hawaonekani wala kujulikana?

si aibu hii!! wako kazini na wanapata wateja, aibu iko wapi?

kwa nini aibu isiwe kwa anayenunua ilakwa anayeuza??
 


Na Richard Bukos

INASIKITISHAJE? Wakati wenzao wakijituma kufanya kazi ili kusukuma mbele gurudumu la maisha, akina mama wenye umri uliosogea, ambao ni mama zetu, wamenaswa laivu wakifanya biashara haramu ya kuuza miili yao.

WANASWA ENEO LA WAZI
Katika oparesheni iliyoendeshwa na jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita, akina mama hao walitiwa nguvuni baada ya kukutwa wakijiuza katika eneo la wazi, Buguruni Kimboka jijini Dar es Salaam.
Majina ya wanawake hao na umri wao katika mabano ni Sauda Mussa (52), Jacqueline Francis (40), Laurencia Rafael (40) na Grace Robinson (40).

WANA BIFU NA MABINTI WADOGO
Kwa mujibu wa wenzao ambao hawakunaswa, waliozungumza na paparazi wetu bila kujua, akina mama hao wamekuwa wakijihusisha na biashara hiyo tangu kitambo na kwamba huwa wana bifu na mabinti wadogo wanaojiuza.

PURUKUSHANI ZA KUKAMATWA
Uchunguzi wa Amani ulibaini kuwa katika eneo hilo, kuna akina mama wengi wanaojiuza na hao waliokamatwa ni wale walioshindwa kuwakimbia polisi katika purukushani ya kukamatwa.

INASIKITISHA
Kwa umri wa akina mama hao, vijana wa Kamanda Suleiman Kova waliowanasa walisema kuwa ni tukio la aibu na la kusikitisha kwani walipaswa kutulia nyumbani na kula matunda ya watoto wao au kujihusisha na shughuli nyingine za ujenzi wa taifa.

KUPANDISHWA KIZIMBANI
Baada ya kukamatwa, akina mama hao walitarajiwa kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Jiji la Dar es Salaam, Sokoine Drive, Februari 27, mwaka huu kujibu shitaka hilo.

Global publishers.

Shame on you
 
Hivi Dunia imekwisha au watu ndiyo wamekwisha? Kazi kwelii kwelii!
 
Back
Top Bottom