nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Leo kawaka kwa hasira huku akitupa vijembe vyake na kuonekana kama mtu anayejali soko la wakulima lijiendeshe lenyewe weka demands and supply contrary kwa yale aliyoyafanya kwenye korosho, mbaazi, zabibu na anayoendelea kuyafanya kwenye pamba na kahawa
Kumbe report ya BOT
Inamuumbua, mahindi yapo mikononi mwa wafanyabiashara huyo mkulima anayejifanya kumtetea hafaidiki chochote kwa sasa, serikali yake in allaergy ya kununua akiba ya chakula na kujaza stocks,
HIVI KIPAUMBELE CHA HAWA JAMAA WA AWAMU YA TANO UKIACHIA KUJIMWAMAMBAFAI NA UKIFUTU NI UPI?
Nchi yoyote inahitaji usalama wa raia na usalama wa chakula, vyote hapa kwa awamu hii ni tatizo na majibu
Yanayotolewa yamekaa kibashitebashite sana kwelikweli
Kumbe report ya BOT
Inamuumbua, mahindi yapo mikononi mwa wafanyabiashara huyo mkulima anayejifanya kumtetea hafaidiki chochote kwa sasa, serikali yake in allaergy ya kununua akiba ya chakula na kujaza stocks,
HIVI KIPAUMBELE CHA HAWA JAMAA WA AWAMU YA TANO UKIACHIA KUJIMWAMAMBAFAI NA UKIFUTU NI UPI?
Nchi yoyote inahitaji usalama wa raia na usalama wa chakula, vyote hapa kwa awamu hii ni tatizo na majibu
Yanayotolewa yamekaa kibashitebashite sana kwelikweli