kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Hesabu ndio somo linaloogopewa na wanafunzi wengi ndio maana wanalikwepa pamoja na umuhimun wake kila sekta, sipati picha cha kinachofanya matokeo yashindwe kutangazwa sehemu nyingi wakati hesabu ya uchaguzi ni kujumlisha labda na kutoa kiasi, ina maana wasimamizi hawajui kujumlisha na kutoa? kazi kwelikweli! subira yavuta kheri ila kheri ikichelewa NEC na wasimamizi aibu na iwapate mpaka sasa Ubungo bado..