Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,795
- 71,214
Nimeikuta habari hii kwenye jukwaa la kimataifa imefichwa huko.
Je, dawa ya COVID19 ya Madagascar imedunda? Mji Mkuu wa visiwa hivyo, Antananarivo wawekewa lockdown kwa mara nyingine
Lakini kwa zile mbwembwe za serikali yetu kuhusu mapambano ya corona na sifa za Rais kuhusu dawa iliyogunduliwa Madagascar matukio yanayo endelea huko yalipaswa yasiwe siri bali wazi na kutangaza kabisa kuwa dawa hiyo ilikuwa fake na tumepata hasara kiasi gani kuifatilia.
Nakumbuka Kabudi aliporudi na kuitisha press conference kuelezea ujio wa dawa hiyo ilikuwa kama sherehe ya ushindi na wataalamu watafiti wengi waliitwa kutoa ushuhuda wa kumsifia Magufuli kuwa ana MAONO na kuhusu dawa hiyo ameona mbali sana kuliko WHO.
Leo kiko wapi kama hiyo dawa imeshindwa kuwaponya hata walio igundua mpaka wanajifungia ndani? Ni vema Leo Magufuli wakati ana "chaguliwa" kwa kishindo na CCM kupeperusha bendera yao aombe radhi kwa kutudanganya kuhusu dawa hiyo na kututia hasara huku akiweka maisha ya RAIA hatarini.
Picha ya mwisho haihusiani Ila ni bonas ya habari husika katika kuamini dawa fake
Je, dawa ya COVID19 ya Madagascar imedunda? Mji Mkuu wa visiwa hivyo, Antananarivo wawekewa lockdown kwa mara nyingine
Lakini kwa zile mbwembwe za serikali yetu kuhusu mapambano ya corona na sifa za Rais kuhusu dawa iliyogunduliwa Madagascar matukio yanayo endelea huko yalipaswa yasiwe siri bali wazi na kutangaza kabisa kuwa dawa hiyo ilikuwa fake na tumepata hasara kiasi gani kuifatilia.
Nakumbuka Kabudi aliporudi na kuitisha press conference kuelezea ujio wa dawa hiyo ilikuwa kama sherehe ya ushindi na wataalamu watafiti wengi waliitwa kutoa ushuhuda wa kumsifia Magufuli kuwa ana MAONO na kuhusu dawa hiyo ameona mbali sana kuliko WHO.
Leo kiko wapi kama hiyo dawa imeshindwa kuwaponya hata walio igundua mpaka wanajifungia ndani? Ni vema Leo Magufuli wakati ana "chaguliwa" kwa kishindo na CCM kupeperusha bendera yao aombe radhi kwa kutudanganya kuhusu dawa hiyo na kututia hasara huku akiweka maisha ya RAIA hatarini.