Aibu gani uliishinda, kiasi sasa unajiona jasiri kupambana na lolote litakalotokea?

It was not all about looks. It was about everything mpendwa. It was too hard na hadi leo nawaona watoto wengine wakipitia niliyoyapitia. Huwa napasuka moyo hadi kulia yaani lini jamii yetu itakubali diversity and stop tormeting kids who are not fully aware about their own true self.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu nimekusoma na kukusoma tena, huoni unaweza kufanya kitu kupitia past experience yako? Kama unaishi near media houses unaweza hata kuomba ukafanya nao kipindi kwa nia ya kuelemisha hivi, sababu hii ni aina ya bullying hatuwezi jua inawaathiri wangapi wa aina hiyo.
 
Mkuu nimekusoma na kukusoma tena, huoni unaweza kufanya kitu kupitia past experience yako? Kama unaishi near media houses unaweza hata kuomba ukafanya nao kipindi kwa nia ya kuelemisha hivi, sababu hii ni aina ya bullying hatuwezi jua inawaathiri wangapi wa aina hiyo.

Tunaishi katika traditional society.
Ukitetea anything feminine unaonekana kama unaleta umagharibi au unatukana masculinity au una ajenda za kusambaza tabia chafu.

Tunaishi katika sadist society ambayo inafurahia shida za watu ili wajione superior. Tunaishi katika political era ambayo kudhalilisha watu ni part of life. Tunaishi pasipo kujali wala kutumia akili.
Hizo media zenyewe zimetekwa, hawana guts za kuonesha chochote ambacho kitaleta negative reaction ya jamii.
mimi pia bado sina influence ya kushindana na system iliyopo. I can't challenge it katika large scope so kwa nini nianzishe vita ambayo siwezi kushinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oscar Awards,

Ohh ni kweli, nakuelewa. Basi angalau kila mzazi anayesoma hii ajitahidi kuelewa wanaopitia watoto wao na wajitahidi kuwajenga kisaikolojia, wewe umeovercome hili, hatuwezi jua linaleta damage gani kwa wengine.

Huwa namuona zamaradi kama ni mwanamke fulani very understanding kama anasoma hapa ajaribu kulifanya topic katika moja ya vipindi vyake, inaweza isilete maana lakini taratibu tutaelewana.
 
Ohh ni kweli, nakuelewa. Basi angalau kila mzazi anayesoma hii ajitahidi kuelewa wanaopitia watoto wao na wajitahidi kuwajenga kisaikolojia, wewe umeovercome hili, hatuwezi jua linaleta damage gani kwa wengine.

Huwa namuona zamaradi kama ni mwanamke fulani very understanding kama anasoma hapa ajaribu kulifanya topic katika moja ya vipindi vyake, inaweza isilete maana lakini taratibu tutaelewana.
Ukweli ni kuwa hiyo ni kama nightmare ambayo huwa haiishi. Inakupa damage kubwa ndani, nashukuru kwa upande wangu imenisaidia kuwa na big heart ila kwa asilimia kubwa huenda pabaya zaidi. Worse enough huwa ni kilio cha ndani kwa ndani, you have to fight a good fight just to remain stable or else unaweza commit suicide. Zamaradi is a nice woman with influence lakini she needs more back up, rejea interview yake na Kaoge ilivyochukuliwa negatively. She was left alone and helpless

Era of CONFESSION
 
Back
Top Bottom