Aibu - Embassy of Tanzania in Nordic & Baltic States

sakauye

Member
May 20, 2008
27
1
Leo nimepata aibu sana jamani. Kuna watu wanataka kwenda Tanzania kuona Simba.

nikasema easy, tuma maombi sweden mara moja. kufungua mtandao wa embasy wameweka simu hii +46 8 732 24 30/31. kupiga ha! tunaambiwa leo tarehe 6 June 2008 ni sikukuu ya "January 12" hivyo ubalozi umefungwa mpaka jumatatu. kusearch search kwenye hii website yao nikaona simu hii Tel: 46 8 503 20600/1, piga piga na wewe hamna kitu kabisa.

nikasema ngoja nimuulize katibu wa chama cha watanzania Oslo, Norway. akasema yeye ana "business card" ya embasy akanipa simu hizi +46-87322433/4. piga piga piga hamna kitu.

ndo yalonikuta mwenzenu. web ya ubalozi ni http://www.tanemb.se
 
Jokers,

Balozi wao nani huko? Inabidi awajibishwe.Inaonekana kuna ujinga mwingi unaendelea hapo.

Mwendo wa Zero Tolerance tu usawa huu.
 
Jokers,

Balozi wao nani huko? Inabidi awajibishwe.Inaonekana kuna ujinga mwingi unaendelea hapo.
Mwendo wa Zero Tolerance tu usawa huu.

...subutuuuuu.... nani wa kumwajibisha???
Pole sana SAKAUYE, hii ndiyo sera yetu ya chama chetu kutufu
 
fisadi mwengine .... wrong people in wrong places .... atakuwa mtoto au mjukuu wa chama chetu huyo
 
Leo nimepata aibu sana jamani. Kuna watu wanataka kwenda Tanzania kuona Simba.

nikasema easy, tuma maombi sweden mara moja. kufungua mtandao wa embasy wameweka simu hii +46 8 732 24 30/31. kupiga ha! tunaambiwa leo tarehe 6 June 2008 ni sikukuu ya "January 12" hivyo ubalozi umefungwa mpaka jumatatu. kusearch search kwenye hii website yao nikaona simu hii Tel: 46 8 503 20600/1, piga piga na wewe hamna kitu kabisa.

nikasema ngoja nimuulize katibu wa chama cha watanzania Oslo, Norway. akasema yeye ana "business card" ya embasy akanipa simu hizi +46-87322433/4. piga piga piga hamna kitu.

ndo yalonikuta mwenzenu. web ya ubalozi ni http://www.tanemb.se
mimi sioni tatizo lipowapi kama kweli ni sikukuu sasa kwa nini wafungue ubalozi? kwani wao hawastaili sikukuu? labda unifafanulie zaidi lkni kama ndiyo hivyo nilivyoelewa mimi sioni tatizo kwani ni sikukuu na ubalozi umefungwa mpka j'tu kwa hiyo ulipaswa urudi j'tu kitu rahisi au?
 
I try to stay away from threads kama hizi as much as possible. Kwa sababu in the end mimi huwa naamini the buck stops with Membe na kuna watu wanaamini kuwa ninia personal vendeta na Membe
 
mimi sioni tatizo lipowapi kama kweli ni sikukuu sasa kwa nini wafungue ubalozi? kwani wao hawastaili sikukuu? labda unifafanulie zaidi lkni kama ndiyo hivyo nilivyoelewa mimi sioni tatizo kwani ni sikukuu na ubalozi umefungwa mpka j'tu kwa hiyo ulipaswa urudi j'tu kitu rahisi au?

Tatizo ni kwamba, sikukuu ya January 12, kama sikosei--mapinduzi ya zanzibar, inasherehekewa tarehe 6 juni katika ubalozi wa sweeden. Sasa kama wewe unaona hilo ni sawa, endelea kuona hivyo. Ni utashi wako.
 
Jokers,

Balozi wao nani huko?

Dr. Ben Moses.

Hakuna kingine chochote kinachojulikana rasmi kuhusu huyu Balozi.

Website haisemi kitu kuhusu staff ya Ubalozi. Jina la Balozi wa Sweden utalipata kwenye orodha ya Mabalozi wa Tanzania iliyoko kwenye website ya Ubalozi wa Uingereza!

Hakuna anaejua lolote rasmi kuhusu kiongozi yoyote wa Tanzania. Ofisi ya Rais haina Website. Kwa hiyo ukitaka kujua rasmi Kikwete ni nani, katoka wapi kikazi, familia yake, kasoma wapi, kafanya nini, inabidi uenda website ya Kikwete-Shein, ambako wanaweza kukupa wasifu propaganda, au uende kusiko rasmi, kama Wikipedia ambako unaweza kupewa "dataz" ambazo zinaweza kuwa zimeandikwa na some mysterious "Kuhani Mkuu"!

Ubalozi wetu Marekani umejitahidi katika kueleza Balozi ni nani na ametokea wapi kikazi. Bahati mbaya, Bio fupi ya Balozi Semfue imemtaja Mkapa mara saba, kana kwamba ni sifa kuwa entourage of an ex-President under a cloud of corruption and abuse of office.
 
unajuwa wajameni kutoka Sweden mpaka Tanzania ni masafa marefu, wakati wa sherehe ya mapinduzi kule Zenj hapa Sweden ilikuwa bado na baada ya miezi mitani ndio imefika hapa,
 
Leo nimepata aibu sana jamani. Kuna watu wanataka kwenda Tanzania kuona Simba.

nikasema easy, tuma maombi sweden mara moja. kufungua mtandao wa embasy wameweka simu hii +46 8 732 24 30/31. kupiga ha! tunaambiwa leo tarehe 6 June 2008 ni sikukuu ya "January 12" hivyo ubalozi umefungwa mpaka jumatatu. kusearch search kwenye hii website yao nikaona simu hii Tel: 46 8 503 20600/1, piga piga na wewe hamna kitu kabisa.

nikasema ngoja nimuulize katibu wa chama cha watanzania Oslo, Norway. akasema yeye ana "business card" ya embasy akanipa simu hizi +46-87322433/4. piga piga piga hamna kitu.

ndo yalonikuta mwenzenu. web ya ubalozi ni http://www.tanemb.se
Mkuu sekauye
mie sikawizi nishawatumia e-mail pale kwenye contact zao kuwaponda watueleze kulikoni?Huyu Daktari Moses vipi au kaitwa emergency?
 
Dr. Ben Moses.

Hakuna kingine chochote kinachojulikana rasmi kuhusu huyu Balozi.

Website haisemi kitu kuhusu staff ya Ubalozi. Jina la Balozi wa Sweden utalipata kwenye orodha ya Mabalozi wa Tanzania iliyoko kwenye website ya Ubalozi wa Uingereza!

Hakuna anaejua lolote rasmi kuhusu kiongozi yoyote wa Tanzania. Ofisi ya Rais haina Website. Kwa hiyo ukitaka kujua rasmi Kikwete ni nani, katoka wapi kikazi, familia yake, kasoma wapi, kafanya nini, inabidi uenda website ya Kikwete-Shein, ambako wanaweza kukupa wasifu propaganda, au uende kusiko rasmi, kama Wikipedia ambako unaweza kupewa "dataz" ambazo zinaweza kuwa zimeandikwa na some mysterious "Kuhani Mkuu"!

Ubalozi wetu Marekani umejitahidi katika kueleza Balozi ni nani na ametokea wapi kikazi. Bahati mbaya, Bio fupi ya Balozi Semfue imemtaja Mkapa mara saba, kana kwamba ni sifa kuwa entourage of an ex-President under a cloud of corruption and abuse of office.

Ben Moses naye ni mmoja wa Mkapaites, alikuwa Canada kasauliwa miaka kibao!

Washajisahau kama wana kazi za kufanya, ina maana hawapigi simu ofisini au vipi? Au ilikuwa wamekuwa technically challenged na switchbox kwa siku hiyo moja, jamani Januari 12 ni nusu mwaka sasa umepita!
 
Kwani mmejaribu kupiga ubalozi wenu kule DC.. inakuwaje?

Lakini tatizo la simu lililoongelewa si ni ubalozi wa Sweden? Haya ya Ubalozi wa DC, ni nyongeza tu, hayakuhusiani na simu au?

(japo wameshanizingua sana kwenye simu wakati ule wa sakata la Pasi. Simu inaenda kwenye voice mail halafu hawarudishi simu)
 
point yangu ni kuwa ni rahisi kusema hilo la Sweden ni "Isolated incidence"... naamini there is a pervasive pattern of irresponsibility and accountability..
 
Inna maana mabalozi wanapoteuliwa wapelekwe NGURUDOTO???? au hawana instruments (schemes) za majukumu ya kibalozi??

Ni mabalozi wa serikali hii hii ya chama changu cha CCM??? aibuuuu
 
Jokers,

Nadhani tatizo ni kuweka wrong date kwenye answering machine.Mimi ni Mtanzania ambaye nipo Stockholm,Sweden.Hapa Sweden leo ni NATIONAL DAY yao hivyo ofisi zote zimefungwa mpaka Jumatatu.
Nadhani hata huko Tanzania siku za sherehe za kitaifa hakuna ofisi yoyote ya kibalozi kutoka nchi nyingine ambayo inakuwa wazi,au wenzetu huko huwa inakuwaje?
 
Dr. Ben Moses.

Hakuna kingine chochote kinachojulikana rasmi kuhusu huyu Balozi.

Website haisemi kitu kuhusu staff ya Ubalozi. Jina la Balozi wa Sweden utalipata kwenye orodha ya Mabalozi wa Tanzania iliyoko kwenye website ya Ubalozi wa Uingereza!

Hakuna anaejua lolote rasmi kuhusu kiongozi yoyote wa Tanzania. Ofisi ya Rais haina Website. Kwa hiyo ukitaka kujua rasmi Kikwete ni nani, katoka wapi kikazi, familia yake, kasoma wapi, kafanya nini, inabidi uenda website ya Kikwete-Shein, ambako wanaweza kukupa wasifu propaganda, au uende kusiko rasmi, kama Wikipedia ambako unaweza kupewa "dataz" ambazo zinaweza kuwa zimeandikwa na some mysterious "Kuhani Mkuu"!

Ubalozi wetu Marekani umejitahidi katika kueleza Balozi ni nani na ametokea wapi kikazi. Bahati mbaya, Bio fupi ya Balozi Semfue imemtaja Mkapa mara saba, kana kwamba ni sifa kuwa entourage of an ex-President under a cloud of corruption and abuse of office.

Pamoja na kuwa kateuliwa na JK inasemekana kwa ombi maalum la jamaa ili 'akaangalie' biashara zake na jamaa hayuko madarakani miaka zaidi ya miwili bado kaona amtaje jamaa mara 7!!!!! Balozi wa Sweden kama sikosei ni somebody Moses hawa wote inasemekana 'wameoa' nyumba moja na Mkapa.
 
Balozi wa tz Sweden ni swahiba mkubwa wa Mkapa... na alimpa huo ulaji wakati anafungasha virago ikulu... Anyway Ubalozi huu nadhani ndio unaoongoza kwa uzembe kati ya balozi zote. Hata wakati wa kubadilisha passport waliwaliza wabongo hela nyingi tu i.e. walitoza gharama za juu kulinganisha na gharama halisi
 
Jokers,

Nadhani tatizo ni kuweka wrong date kwenye answering machine.Mimi ni Mtanzania ambaye nipo Stockholm,Sweden.Hapa Sweden leo ni NATIONAL DAY yao hivyo ofisi zote zimefungwa mpaka Jumatatu.
Nadhani hata huko Tanzania siku za sherehe za kitaifa hakuna ofisi yoyote ya kibalozi kutoka nchi nyingine ambayo inakuwa wazi,au wenzetu huko huwa inakuwaje?
kwa nini unapoteza muda wako kujaribu kuelezea kitu chenye msingi humu....ndugu yangu watu wa humu ni mambumbu na hawatakuelewa kazi ni siku zote kutafuta sababu za kulaumu hata pasipokuwa na sababu.. mimi niliwauliza kama huko ni sikukuu kwa nini haoa watu wapenda kuona simba wasirudi j'tatu? jibu lake matusi..... kwa hiyo kama kuna ushauri ambao ningekupa usipoteze muda wako wengi wao humu wanapenda kukosoa wakati ukiwaliza wao binafsi ni mafanikio gani wamepata ktk maisha huko walipo hakuna kitu... kwa hiyo kilichobaki ni kutafuta kila kitu kidogo na kulalamika... wakiona hivi basi watalinganisha na huko walipo na kuanza kulalamika wakati HAWAFANYI KITU CHECHOTE ILI KUWEZA KUBORESHA MAMBO.... kwa hiyo usijisumbue na kama unataka kuhakikisha angalia ni watu wangapi wamejibu swali lako? hakuna
 
Back
Top Bottom