Wanabodi.
Jana Mchana nilipata nafasi kumtembelea kaka sister yangu hapo IFM. ghafla nilibanwa na kahaja kadodogo.
Nilichokutana huko ni vigumu kukieleza.
Kwa ufupi choo cha akina dada warembo floor ya kwanza ambayo nimeambiwa wanaishi watu wazima (Master) hamna kabisa maji.Ukitaka kwenda haja itabidi utafute maji nje. kwa kweli ni sehemu chafu sana ni hatari kwa afya ya warembo hao. Unaweza kufafanisha kama choo cha baa. na sio sehemu ya wasomi.
inasemekana huu mwezi wa 5 maji hayatoki, wanadai tatizo ni dogo sana lkn kutojali kwa wakuu ndio kumefikia haya. wanadai washazungumza sana na wahusika, lkn hakuna anaejali na hakuna dalili ya uongozi wa kulitatua.kwa
TUNAJIULIZA.
SASA ALIEPEWA JUKUMU HILI DOGO ANASHINDWA KULITEKELEZA, AKIPEWA TAASISI NYETI KAMA YA UMEME.
NCHI INAWEZA KUKAA GIZANI BILA YA KUJALI?
KUNA TAFUTI GANI YA UONGOZI WA WASOMI NA UONGOZI WA WAUZA SAMAKI FERI?
Jana Mchana nilipata nafasi kumtembelea kaka sister yangu hapo IFM. ghafla nilibanwa na kahaja kadodogo.
Nilichokutana huko ni vigumu kukieleza.
Kwa ufupi choo cha akina dada warembo floor ya kwanza ambayo nimeambiwa wanaishi watu wazima (Master) hamna kabisa maji.Ukitaka kwenda haja itabidi utafute maji nje. kwa kweli ni sehemu chafu sana ni hatari kwa afya ya warembo hao. Unaweza kufafanisha kama choo cha baa. na sio sehemu ya wasomi.
inasemekana huu mwezi wa 5 maji hayatoki, wanadai tatizo ni dogo sana lkn kutojali kwa wakuu ndio kumefikia haya. wanadai washazungumza sana na wahusika, lkn hakuna anaejali na hakuna dalili ya uongozi wa kulitatua.kwa
TUNAJIULIZA.
SASA ALIEPEWA JUKUMU HILI DOGO ANASHINDWA KULITEKELEZA, AKIPEWA TAASISI NYETI KAMA YA UMEME.
NCHI INAWEZA KUKAA GIZANI BILA YA KUJALI?
KUNA TAFUTI GANI YA UONGOZI WA WASOMI NA UONGOZI WA WAUZA SAMAKI FERI?