Hapo si watoto kushinda na njaa pekee yake na wivu wa mapenzi umejificha humo. Mwanaume hasira zinakupata, alikuwa analewa na nani? Kawaida wanaume hatupendi mwanamke apige larger bila si kuwepo labda iwe sherehe za familia au ubarikio .ukimuachia hela ndugu yako ya chakula akienda kulewa watoto wakabaki na njaa unamuua si ndio??? basi safi sana