Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,699
- 9,778
Mwanamke huyo mkazi wa ujerumani mwenye miaka 39, aliyekuwa kwenye mahusiano na mwanaume mwenye miaka 42 ameshtakiwa kwa kosa la wizi wa mbegu za kiume na kuhukumiwa kifungo cha miezi 6 jela!
Jaji wa mahakama ya magharibi nchini humo, Astrid Salewsky amesema kuwa, wizi huo wa mbegu za kiume ulifanywa pale mwanamke huyo alipotoboa vitundu kwenye kondomu za mwanaume huyo ili watakapofanya mapenzi, mbegu hizo zipitilize kuingia ukeni!
Uamuzi huo umetolewa katika mahakama ya kikanda ya mji wa magharibi ya ujerumani, Bielefield!
Jaji wa mahakama ya magharibi nchini humo, Astrid Salewsky amesema kuwa, wizi huo wa mbegu za kiume ulifanywa pale mwanamke huyo alipotoboa vitundu kwenye kondomu za mwanaume huyo ili watakapofanya mapenzi, mbegu hizo zipitilize kuingia ukeni!
Uamuzi huo umetolewa katika mahakama ya kikanda ya mji wa magharibi ya ujerumani, Bielefield!