Ahsanteni Sana Wagosi wa Kaya kwa kusikiliza Kero ya JMushi

Wakunyuti

JF-Expert Member
Feb 11, 2008
380
13
Niko kwenye usafiri asubuhi nasikiliza Power Breakfast cha Clouds FM, mara nasikia kuna nyimbo mpya ya wagosi wa kaya wanataka waipige....i am very curious to know wanaongelea nini hawa jamaa this tym.......my god here they are again..na sasa ni '''UFISADI''''''' oooh...ni nyimbo tamu mno ambayo kila mstari unaujumbe mzito mno..ameimba yule msambaa MKOLONI peke yake .. may i take this time kuwapongeza jamaa hasa MKoloni..hasa kwa kukisikia kilio cha Jmushi ambaye alishaandika thread ya kuhusu wasanii wa bongo flavor na ufisadi... It's my hope that others will follow na wakiwa wengi basi na hakika tutakua tumepiga hatua kubwa sasa kwenye vita hivi...tuwahamasishe wapunguze kuimba mapenzi na starehe sasa wakati nchi inaangamia,,, itapendez a sana kila redio stesheni ukisikiliza nyimbo ni kukemea ufisadi..

kwangu mimi naona mwananchi wa kawaida kabisa ambao ndio wako wengi hapa nchini ni rahisi sana kumfikishia ujumbe na elimu kwa kutumia muziki kuliko njia nyingine yeyote ya mawasiliano. na muziki ambao kwa sasa ivi umezidi kukubalika kwa rika zote na kwa uwingi mkubwa wa watu ni bongo flavor na cha kutia moyo zaidi hata kule ambako sisi hatufiki kusambaza elimu ya uraia( vijijini) bongo flavor inafika...so ni jukumu letu kuwa elimisha na kuwachochea hawa wasinii wetu wa kizazi kipya waige mfano wa Wagosi wa Kaya ili kuliokoa taifa letu kwenye janga hili...

Chukulia mfano..wasanii kama Pro J, Mwana FA,Chid Benz, Ngwea,Jmo, Jay Dee, Ray C na wengine wengi ma star waimbe nyimbo zinazo kemea ufisadi live kila mmoja kwa staili yake na zote kwa bahati nzuri zi heat...hao mafisadi watatokea mlango gani?????



Keep it up Wagosi wa KAya,...... very Nice song....... Inabidi wana JF mpate mda msikilize uo wimbo..mpaka mzee wa vijisenti ndani..lowasa ndani ..i bet it's gonna be bomb of the town
 
...tuwekee huo wimbo au tuambie unapatikana wapi na sisi tusikilize.
 
Wakunyuti wape mambo!
Tunataka wagosi wa Kaya...Fagilia mbaya!
Kama vita ni UFISADI...NA WAO PIA NI MASHUJAA!
 
Niko kwenye usafiri asubuhi nasikiliza Power Breakfast cha Clouds FM, mara nasikia kuna nyimbo mpya ya wagosi wa kaya wanataka waipige....i am very curious to know wanaongelea nini hawa jamaa this tym.......my god here they are again..na sasa ni '''UFISADI''''''' oooh...ni nyimbo tamu mno ambayo kila mstari unaujumbe mzito mno..ameimba yule msambaa MKOLONI peke yake .. may i take this time kuwapongeza jamaa hasa MKoloni..hasa kwa kukisikia kilio cha Jmushi ambaye alishaandika thread ya kuhusu wasanii wa bongo flavor na ufisadi... It's my hope that others will follow na wakiwa wengi basi na hakika tutakua tumepiga hatua kubwa sasa kwenye vita hivi...tuwahamasishe wapunguze kuimba mapenzi na starehe sasa wakati nchi inaangamia,,, itapendez a sana kila redio stesheni ukisikiliza nyimbo ni kukemea ufisadi..

kwangu mimi naona mwananchi wa kawaida kabisa ambao ndio wako wengi hapa nchini ni rahisi sana kumfikishia ujumbe na elimu kwa kutumia muziki kuliko njia nyingine yeyote ya mawasiliano. na muziki ambao kwa sasa ivi umezidi kukubalika kwa rika zote na kwa uwingi mkubwa wa watu ni bongo flavor na cha kutia moyo zaidi hata kule ambako sisi hatufiki kusambaza elimu ya uraia( vijijini) bongo flavor inafika...so ni jukumu letu kuwa elimisha na kuwachochea hawa wasinii wetu wa kizazi kipya waige mfano wa Wagosi wa Kaya ili kuliokoa taifa letu kwenye janga hili...

Chukulia mfano..wasanii kama Pro J, Mwana FA,Chid Benz, Ngwea,Jmo, Jay Dee, Ray C na wengine wengi ma star waimbe nyimbo zinazo kemea ufisadi live kila mmoja kwa staili yake na zote kwa bahati nzuri zi heat...hao mafisadi watatokea mlango gani?????



Keep it up Wagosi wa KAya,...... very Nice song....... Inabidi wana JF mpate mda msikilize uo wimbo..mpaka mzee wa vijisenti ndani..lowasa ndani ..i bet it's gonna be bomb of the town

Safi sana!
Tunaomba hiyo nyimbo ili nasisi tufarijike na mpambano huu!

Maneno hayo hapo juu ni ya nguvu na tatizo wanasiasa hawajui kuitumia nafasi ya wasanii kwa manufaa ya Taifa na jamii husika!

Tuachane na kuiga kila kitu cha wamarekani tu pale inapokuja kwenye ujumbe wa miziki yetu!

Kweli nimefarijika sana kwa kilio chetu wana jf kusikilizwa!

Tunaomba moyo huo uendelee na Viongozi WAZALENDO musiwaache hao wagosi wa kaya kwanza sasa hivi walitakiwa wandaliwe ziara ya nguvu huko vijijini sambamba na miziki yao Hiyo hasa huo wa MKOLONI kutwangwa kwenye redio na kusikika kila mahali!

Nilipotembelea bongo na kuona influence ya Muziki wa kizazi kipya kwenye jamii...Basi nilijuwa kuwa wasanii hao kama wakitumika vizuri...Basi watahusika moja kwa moja kwenye ukombozi wa Tanzania na wataingia kwenye historia ya TAIFA LETU!
 
Safi sana!
Tunaomba hiyo nyimbo ili nasisi tufarijike na mpambano huu!

Maneno hayo hapo juu ni ya nguvu na tatizo wanasiasa hawajui kuitumia nafasi ya wasanii kwa manufaa ya Taifa na jamii husika!

Tuachane na kuiga kila kitu cha wamarekani tu pale inapokuja kwenye ujumbe wa miziki yetu!

Kweli nimefarijika sana kwa kilio chetu wana jf kusikilizwa!

Tunaomba moyo huo uendelee na Viongozi WAZALENDO musiwaache hao wagosi wa kaya kwanza sasa hivi walitakiwa wandaliwe ziara ya nguvu huko vijijini sambamba na miziki yao Hiyo hasa huo wa MKOLONI kutwangwa kwenye redio na kusikika kila mahali!

Nilipotembelea bongo na kuona influence ya Muziki wa kizazi kipya kwenye jamii...Basi nilijuwa kuwa wasanii hao kama wakitumika vizuri...Basi watahusika moja kwa moja kwenye ukombozi wa Tanzania na wataingia kwenye historia ya TAIFA LETU!

Kwani ina maana huu wimbo waliutunga baada ya hii thread ya JMushi ama ulikuwa umetoka ila wanaubania.
Vyovyote vile ujumbe umefika.
 
Pongezi Wagosi wa Kaya. Tuliweza kushinda vita ya uganda tukitumia, among others, nyimbo kujenya utaifa. Huu ni wakati wa kizazi hiki kipya nacho kutoa mchango wao.
 
Safi sana!
Tunaomba hiyo nyimbo ili nasisi tufarijike na mpambano huu!

Maneno hayo hapo juu ni ya nguvu na tatizo wanasiasa hawajui kuitumia nafasi ya wasanii kwa manufaa ya Taifa na jamii husika!

Tuachane na kuiga kila kitu cha wamarekani tu pale inapokuja kwenye ujumbe wa miziki yetu!

Kweli nimefarijika sana kwa kilio chetu wana jf kusikilizwa!

Tunaomba moyo huo uendelee na Viongozi WAZALENDO musiwaache hao wagosi wa kaya kwanza sasa hivi walitakiwa wandaliwe ziara ya nguvu huko vijijini sambamba na miziki yao Hiyo hasa huo wa MKOLONI kutwangwa kwenye redio na kusikika kila mahali!

Nilipotembelea bongo na kuona influence ya Muziki wa kizazi kipya kwenye jamii...Basi nilijuwa kuwa wasanii hao kama wakitumika vizuri...Basi watahusika moja kwa moja kwenye ukombozi wa Tanzania na wataingia kwenye historia ya TAIFA LETU!


Vuteni subira waungwana..mda si mrefu nitawarushia hewani icho kitu..tatizo wanakibana sana.............Jmushi nakubaliana na wewe kabisa asilima 100 kuwa wanasiasa hawajui kuwatumia wasanii kwa manufaa ya taifa..laiti wangelijua kua asilimia kubwa sana ya vijana husikiliza bongo flava kila siku basi nguvu zao nyingi wangezielekeza huko.....kwa maana nguvu ya vijana kwa taifa lolote inajulikana na hilo halina ubishi
 
Vuteni subira waungwana..mda si mrefu nitawarushia hewani icho kitu..tatizo wanakibana sana.............Jmushi nakubaliana na wewe kabisa asilima 100 kuwa wanasiasa hawajui kuwatumia wasanii kwa manufaa ya taifa..laiti wangelijua kua asilimia kubwa sana ya vijana husikiliza bongo flava kila siku basi nguvu zao nyingi wangezielekeza huko.....kwa maana nguvu ya vijana kwa taifa lolote inajulikana na hilo halina ubishi

Tunakusikilizia mkuu!

Na pia wanasiasa hao sasa wasikilize ushauri na wawape shavu wazalendo wenzao kwenye vita hii ya UFISADI ambayo kila aina ya silaha itatumika ili kuishinda!

Kama wakati wa msiba wa mwalimu kila redio ilikuwa ni nyimbo za maombolezo!

Sasa wakati huu kwasababu tulisha imba sana kwa maombolezo...Ni wakati muafaka sasa kutoa vibao vya kimapinduzi.

Kwakweli hata kwene sensa ya Taifa hao vijana ni wazi kuwa wana account for the big chunk a wananchi wote wa Tanzania.
Wao ndio wapiga kura!

Kama watu wa rika zote wanawasikiliza...Sasa huu ndio wakati wa kuwatumia wasanii hao ili kupenyeza message more effectivel kiasi cha kwamba hata kama kuna watu hawana muda wa kusoma ama kusikiliza tv...Bado pia wapate ujumbe...KWANI RADIO HIZO HUSUKILIZWA KUANZIA NA KIBARUA HADI TAJIRI!
 
Mzee unataka kuudownload nini? subiri watoe album yao ununue uwaunge mkono.....

Nafikiri mashairi yatatufaa kwasaa na huku tukiangalia huo utaratibu wa kununuwa cd!
Ila play time pia ni muhimu!
TENA MASSIVE PLAY TIME.
 
Mzee unataka kuudownload nini? subiri watoe album yao ununue uwaunge mkono.....


Yah.. nawao pia wanahitaji support ili waweze kuishi..ku download nyimbo kibongo bongo tunawanyonya sana hawa jamaa...ila bado nautafuta
 
Huwa sipendi kucheza kamari.lakini kwa hili naomba mtu a bet na mimi! Huu wimbo ukipigwa zaidi ya Mwezi atakaye bet na mimi atakua anashinda.Mizozo nafikiri media za Bongo unazijua vizuri au?? This song is so political that our media due to it's lack of thinking other ways rather than nyimbo za mapenzi hawawezi kupiga muda mrefu.

Hata mkoloni akiwa pale kwake Sinza madukani nimeshawahi kumsikia akiguess hili!! Hii industry haiwezi kusapoti hizi nyimbo.... Mwenye masikio na alisikie hili nnalowaambia
 
Mzee unataka kuudownload nini? subiri watoe album yao ununue uwaunge mkono.....

Kwa jinsi ninavyojua game ya Bongo...mpaka watoe Album inaweza kuwa after two years...yaani watatumia muda mwingi katika kuweza kutoa album kiasi kwamba itakuwa haina maana tena kwa kipindi hicho.

Halafu vjambo jengine ambalo linakera sana, mimi na wewe tunasema tungoje kuwasupport kwa kununua rather than downloading wakati Madj ambao wanapewa kwa ajili ya kupiga redioni ndio vinara wakuu wa kuuza nyimbo za Wasaniii kutoka kwenye internet cafe na kutengeneza unofficial compillations.

Nadhani hata kama tutaupata hapa itasaidia sana. unaweza wekwa kwa ajili ya kusikiliza tu. Na lyrics!
 
Huwa sipendi kucheza kamari.lakini kwa hili naomba mtu a bet na mimi! Huu wimbo ukipigwa zaidi ya Mwezi atakaye bet na mimi atakua anashinda.Mizozo nafikiri media za Bongo unazijua vizuri au?? This song is so political that our media due to it's lack of thinking other ways rather than nyimbo za mapenzi hawawezi kupiga muda mrefu.

Hata mkoloni akiwa pale kwake Sinza madukani nimeshawahi kumsikia akiguess hili!! Hii industry haiwezi kusapoti hizi nyimbo.... Mwenye masikio na alisikie hili nnalowaambia

Amani,

Kaitka hili naungana na wewe, hawa jamaa hawatakuwa na airtime ya zaidi ya mwezi mmoja... baada ya hapo tutakuwa tunaomba Mungu tu kusikia huu wimbo ukipigwa mara moja mbili katika late night shows, Saa nane usiku mpaka kumi usiku.

Hili ni kutokana na uwezo mdogo wa Presenters na DJs katika kuchambua mambo na kujua issue za ukweli ni zipi na lipi ni taka taka. Inasikitisha sana unajua. Ndugu yangu Mkoloni kwa sasa anahangaika katika kujaribu kutengeneza Video vya huo wimbo, ambayo atatumia zaidi ya Laki 6, kisha Video yenyewe itaonyesha si zaidi ya mara 15 na TV stations kisha wataisahau!!!

Ni kama tuna laana katika bhili. Media za Bongo zinachosha saana yaani...
 
Amani,

Kaitka hili naungana na wewe, hawa jamaa hawatakuwa na airtime ya zaidi ya mwezi mmoja... baada ya hapo tutakuwa tunaomba Mungu tu kusikia huu wimbo ukipigwa mara moja mbili katika late night shows, Saa nane usiku mpaka kumi usiku.

Hili ni kutokana na uwezo mdogo wa Presenters na DJs katika kuchambua mambo na kujua issue za ukweli ni zipi na lipi ni taka taka. Inasikitisha sana unajua. Ndugu yangu Mkoloni kwa sasa anahangaika katika kujaribu kutengeneza Video vya huo wimbo, ambayo atatumia zaidi ya Laki 6, kisha Video yenyewe itaonyesha si zaidi ya mara 15 na TV stations kisha wataisahau!!!

Ni kama tuna laana katika bhili. Media za Bongo zinachosha saana yaani...


Hii ndio mbaya sasa...inabidi tuwaweke na mdj wetu sasa maana ma dj wa kibongo nao mapenzi mengi hawajui hata mambo yanavyokwenda kwenye nchi yao na hata hawajisumbui kutaka kujua wao ni mapenzi na starehe ..hii ndio shida...sipati picha Clouds fm dj anakua Jmushi na East afrika fm dj anakua Mzozo wa mizozo nafikiri hapo tutafika tunakokutaka
 
Hii ndio mbaya sasa...inabidi tuwaweke na mdj wetu sasa maana ma dj wa kibongo nao mapenzi mengi hawajui hata mambo yanavyokwenda kwenye nchi yao na hata hawajisumbui kutaka kujua wao ni mapenzi na starehe ..hii ndio shida...sipati picha Clouds fm dj anakua Jmushi na East afrika fm dj anakua Mzozo wa mizozo nafikiri hapo tutafika tunakokutaka

Hahaha...

Sasa hapo mbona yatakuwa ni mapinduzi ya kweli!!! Nipewe rungu kama hilo wakitegemea nini. Kwa station kama Clouds najua sintokuwa kazini kwa muda mrefu ntafukuzwa tu.!

Maana tunaweza walalamikia sana Presenter lakini wao nao ukikaa na kufikiri sana utajua kwamba ni Puppets tu na kuna Puppets master ambao kazi yao ni ku-browse the strings and make them dance na mwisho wa siku inakuwa you either do wat you are told ama uende zako!!!
 
Mzozo your right.. i hope hata fina na kipanya nao watakua waliwekewa mtimanyongo sababu ya tabia yao ya kukemea maovu na uozo wa serikali hii na kwa bahati mbaya au nzuri kipindi chao kilikua kishapata wasikilizaji wengi sana..naona wazee wa kazi wakaona madogo wanataka kuwaharibia..mambo ndio yakawa ivyo mizengwe juu ya mizengwe mara mic haifanyi kazi mara sijui nini alimradi tu mazingira yao ya kazi yawe ya kukatisha tamaa..matokeo yake ndio ivyo kama tulivyoona..hatuwasikii tena.. i doubt hata hawa wasanii nao wanaogopa hivyo ivyo ....but we need to encourage them...... sijui tutafika?????!!!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom