Ahsanteni Sana Wagosi wa Kaya kwa kusikiliza Kero ya JMushi

Ndio hao hao wenye mielekeo mibaya isiyoridhisha!
Unajuwa hata Kusaga mwenyewe alikuwa ana usemi wake "kULA RAHA MPAKA mUNGU ACHUKIE"
Sasa anatakiwa ajuwe kuwa this is God's time na akiyumba kwenye vita ya kumtetea myonge basi amuulize Rostama aliyemuandalia Press Conference!
Kuna matajiri wengine wana ROHO MBAYA SANA NA NDIO MAANA BONGO NI HOVYO TU!
Kwanini wasihakikishe kuwa wanapiga nyimbo base on requests?
Nashangaa sana ninapoambiwa kuwa eti pesa kiasi flani kinatosha kukupa air time kiasi flani.
Yote hayo Kusaga anayafumbia macho kwasababu hata yeye ni CORRUPT!
Nyie kina Venture pigeni hiyo miziki ya kizalendo na kama mmeshapokea pesa za mafisadi mtakipata.

Ngoja watanzania waamke sasa..mimi nasubiria tu na bado najipa moyo kuwa kuna siku wataamka tu..hamna kusikiliza radio za kinafiki zinapiga manyimbo ya kuiga tu ya wenzetu wenye raha wakati tunakufa na njaa..barabara mbovu...watu wanazidi kufa ma hosipitalini..wajawazito wanafia kwenye vitanda wa ki share wakati wakujifungua..dawa hamna...huduma za serikali mbovu..alafu bado tunashabiikia nyimbo za Anita Anita Wangu''' zikiletwa zinazozungumzia ukweli ili watu waamke zinapigwa chini zinafifia na kupotea kabisa matokeo yake wanaotunga wanakatishwa tamaa nataratiibu kuanza kunyonywa na ufisadi...iko siku watanzania wataamka....na nyimbo za aina hii zinazozungumzia ukweli halisi ndizo zitakazo kuwa kwenye chati..let us cross our fingers..JF au ya chama chochote cha upinzani kwa kuanzia inabidi ifanye move iyo ya kuanzisha radio stations tuokoe wananchi wetu jamani...radio za sasa zisha taitiwa na mafisadi
 
safi jmushi, waambie hao.

Ni muhimu pia na huko bongo muwabane.
Coz wanahitaji kupiga nyimbo based on requests na si rushwa.
Ndio maana talents zinapotea bure!
Taifa limeoza na kina Kusaga wako responsible sambamba na mafisadi wanaowaandalia press conference!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom