Ahsante TBC kwa kutuonesha mmiliki wa ambulance na vichwa vya treni

Acha ujinga, soma kwanza uzi na uuelewe, kama hujaelewa tafuta DOGO aliye karibu nawe akueleweshe.
Mleta uzi kasema 'YAWEZEKANA MKULU ALIAGIZA KAMA ALIVYOAGIZA ZILE NDEGE'.
Hapa hujaelewa nini??
Narudia, wamesema vichwa vya treni na hizo ambilance ziliagizwa na kufika kabla JPM hajawa rais. Nini huelewi hapa?? Mleta uzi anamtuhumu JPM kuwa ndiye muagizaji, sio taasisi.
Ni lini Taasisi ikazungumzia watu? Ukiingia ofisini yote yaliyokuwepo mazuri na mabaya ni yako!! Ni mara ngapi mawaziri wamewajibika kwa waliopita!! Tena unazungumzia taasisi kubwa ya URAIS???? Uwe makini!!
 
Ni lini Taasisi ikazungumzia watu? Ukiingia ofisini yote yaliyokuwepo mazuri na mabaya ni yako!! Ni mara ngapi mawaziri wamewajibika kwa waliopita!! Tena unazungumzia taasisi kubwa ya URAIS???? Uwe makini!!
Ilitakiwa tumuulize Raisi kwanini ametelekeza magari yale pale bandarini, sababu yaliagizwa na ofisi yake...
 
Ok ndugu yangu...ukisoma vizuri comment yako tayari kabisa umeshamhukumu Rais kuwa anafanya ufisadi wa nchi hii....sasa sheria za nchi hazitungwi kwa hisia kama hizo ndugu yangu bali ni makubaliona ya wadau mbalimbali pale wanapoona kuna uhitaji wa sheria fulani kutokana na mapungufu kisheria.

Takukuru hawajawekewa mipaka kisheria jinsi ya kuchunguza bali ni madhaifu yao wenyewe katika kufanya kazi zao kama Takukuru na uwoga wao wenyewe.

Kuna mahali Takukuru ameenda kuchunguza akaambiwa hapana?
Kwa mfumo wa teuzi wa nchi za kiafrika hilo unalozungumzia ni nadharia..TAKUKURU wanauliza legacy ya kumchunguza mtu kwa wenye nchi kabla ya kuanza kufanya hivyo. Kumbuka yeye ni mteule tu hana security of tenure kama judges na ACG. Akienda kinyume na matakwa ya wateule anapigwa kalamu hapo hapo..hivyo wanafanya kazi zao kwa mipaka na maelekezo pia (kivitendo). Kinadharia ni kama ulivyosema hapo..
 
Nenda TRA na TPA utapata ufafanuzi kamili wa hili suala husika.
Mkuu niende tena TRA na TPA wakati karne ya leo mambo yamerahisishwa na technology ya media, habari tunapashana na mtu unaipata hapo hapo ulipo, ndio maana nikakuomba habari kamili.
 
Mkuu niende tena TRA na TPA wakati karne ya leo mambo yamerahisishwa na technology ya media, habari tunapashana na mtu unaipata hapo hapo ulipo, ndio maana nikakuomba habari kamili.
Mimi sio mtu wa mipasho. Kama unapendelea hiyo style ya kupashwa nenda TRA na TPA watakupasha vizuri na hakika utasuuzika Roho yako. Kila la kheri.
 
Tatizo lenu Wazandiki wengi akiwepo mleta mada mmejawa na CHUKI na Ukabila mpaka mnaanza kutapatapa na mwisho wenu utakuwa mbaya sana.
Kama hamna taarifa kamili kuhusu habari husika ni vyema mngetulia tulii na kuachana na hizi Propaganda za mwendokasi.

Hizo ambulance ziliagizwa wakati wa awamu ya nne. Na zilikaa hapo bandarini kwa muda mrefu sana (kwa wale mnaofanya shughuli zenu huko mnalijua hili). Mh. Rais alipewa taarifa na akazifanyia kazi. Unafikiri huyo Ofisa wa TPA alitoa wapi huo ushujaa wa kusema wazi ya kwamba hizo nolinoli ziliagizwa na Ofisi ya Rais kwa mujibu wa Wazi ( manifest ) inavyojieleza!!
Vivyo hivyo kwa hivyo vichwa vya Treni. Acheni kuhadaa Umma wa Watanzania kwa UZANDIKI na kutunga Uongo kila kukicha. Mjikite kwenye kazi na Kilimo ili kujenga Tanzania.

Mwisho wenu ni AIBU!
Ngoja nilale maana nimechukia suseni uchaguzi mwone
 
Mimi sio mtu wa mipasho. Kama unapendelea hiyo style ya kupashwa nenda TRA na TPA watakupasha vizuri na hakika utasuuzika Roho yako. Kila la kheri.

Mkuu nimekuomba taarifa kamili, kama unazo sikuomba mipasho, maana umemshambulia mwana jf alietupa taarifa hapo awali, nikidhani kuwa wewe una taarifa kamili, kumbe nawe huna. Nashindwa kuelewa unakosoaje watu kuwa taarifa zao sio za kweli wakati huna unachokijua.
 
yani Leo mmenifumbua macho sana kumbe yeye ndo anaagiza bila kufata taratibu anajifanya hazina mwenyew ivi uyu ni mzima kweli? aya mwambieni aanze kuzigawa izo ambulance mpenda kiki , ndege zimemuumbua
Wacha nicheke,hahaha hahaha hahaha!!!
 
Jana kwa wale wenye mioyo migumu tunaoangalia TBC kulikuwa na kipindi ambacho walialika maafisa wawili wa mamlaka ya bandari TPA kuzungumzia maswala mbalimbali.

Mmoja wa watazamaji alipiga simu nakuulizia kwann wanashindwa kudhibiti hadi raisi anakuja kuvumbua madudu?(nukuu isiyo rasmi)

Afisa wa TPA; alijibu kuwa wao ndiyo waliompa Raisi taarifa kuwa scanner yao imeona container ya mitumba ambayo ndani yake kuna magari na siyo raisi ndiyo aliyevumbua hayo in scanner za TPA, akaendelea zaidi kuwa wanampango wakufunga scanner zingine.

Mtazamaji mwingine: aliulizia kuhusu ambulance na vichwa vya treni.

Afisa wa TPA: Mizigo yote inayokuja bandarini ina manifest inayoonesha inatoka wapi na final destination(mmiliki) ni wapi, kuhusu ambulance manifest inaonesha ziliagizwa kutoka ofisi ya raisi na ndicho afisa wa TPA alichomweleza raisi na baada ya hapo raisi aliunda tume ya kuchunguza the same thing na vichwa vya treni ina manifest take.

Haya sasa, maswali ya kuchokoza mada;
1. Mkulu alipokuwa ziara mikoa mbalimbali refer mererani aliahidi ambulance wakati anazindua barabara, akasema atabanabana huko alete ambulance, Je inawezekanaje katika zama izi zakutumbua afisa ugavi ofisi ya mkulu aagize ambulance bila idhini?

2. Vichwa vya treni, Je?, inawezekana km mkulu aliagiza km alivyoagiza ndege mpya bila kufuata budget na kwasababu wadau wengi walimkosoa kuwa hafuati budget ameamua kuvumbua madudu bandari???then kuwakabidhi TRL

Nawaza tu???
Je, kuna uwezekano km ndege zingekuwa zinapitia bandari, angevumbua ndege mpya tano zilizotelekezwa bandarini na kisha kuwakabidhi ATCL?

Kwa wale wanaosubiri kuambiwa mmiliki wa vichwa vya treni na ambulance, tuwe na imani km ya wakristu kuwa Yesu atarudi.
Mmeshauza figo &mali zenu kugharamia kamanda aliye Nairobi.?
 
Whitesmith, mada yako imekaa kichochezi zaidi kwa mjibu wa ccm.

Unawafungua watu macho wapate ukweli halafu waanze kuhoji? Huu ni uchochezi.


Unapopunguza uvumbuzi wa mkuu na kusema wamegundua TPA, unafanya makosa. Unadhoofisha sifa za kushitukiza na kugundua. Soon utaitwa adui.

Ila pia ujue kusembua sembua suala la uhalali wa maamuzi ya matumizi ni uchochezi kabambe. Unapotaka watu watambua ukweli unawapunguzia imani juu ya matamshi. Jiangalie bashite usiingie m ikononi mwa bashite etal!.



Jana kwa wale wenye mioyo migumu tunaoangalia TBC kulikuwa na kipindi ambacho walialika maafisa wawili wa mamlaka ya bandari TPA kuzungumzia maswala mbalimbali.

Mmoja wa watazamaji alipiga simu nakuulizia kwann wanashindwa kudhibiti hadi raisi anakuja kuvumbua madudu?(nukuu isiyo rasmi)

Afisa wa TPA; alijibu kuwa wao ndiyo waliompa Raisi taarifa kuwa scanner yao imeona container ya mitumba ambayo ndani yake kuna magari na siyo raisi ndiyo aliyevumbua hayo in scanner za TPA, akaendelea zaidi kuwa wanampango wakufunga scanner zingine.

Mtazamaji mwingine: aliulizia kuhusu ambulance na vichwa vya treni.

Afisa wa TPA: Mizigo yote inayokuja bandarini ina manifest inayoonesha inatoka wapi na final destination(mmiliki) ni wapi, kuhusu ambulance manifest inaonesha ziliagizwa kutoka ofisi ya raisi na ndicho afisa wa TPA alichomweleza raisi na baada ya hapo raisi aliunda tume ya kuchunguza the same thing na vichwa vya treni ina manifest take.

Haya sasa, maswali ya kuchokoza mada;
1. Mkulu alipokuwa ziara mikoa mbalimbali refer mererani aliahidi ambulance wakati anazindua barabara, akasema atabanabana huko alete ambulance, Je inawezekanaje katika zama izi zakutumbua afisa ugavi ofisi ya mkulu aagize ambulance bila idhini?

2. Vichwa vya treni, Je?, inawezekana km mkulu aliagiza km alivyoagiza ndege mpya bila kufuata budget na kwasababu wadau wengi walimkosoa kuwa hafuati budget ameamua kuvumbua madudu bandari???then kuwakabidhi TRL

Nawaza tu???
Je, kuna uwezekano km ndege zingekuwa zinapitia bandari, angevumbua ndege mpya tano zilizotelekezwa bandarini na kisha kuwakabidhi ATCL?

Kwa wale wanaosubiri kuambiwa mmiliki wa vichwa vya treni na ambulance, tuwe na imani km ya wakristu kuwa Yesu atarudi.
 
Back
Top Bottom