Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,871
Huo ulikuwa ni mchezo tu, kwani kwa tunavyomjua Magu kama kweli angekuwa amevumbua yeye basi pale asingetoka bila kutumbuliwa mtu pale pale. Lakini mpaka leo husikii aliyetumbuliwa. Huo ni mchezo wa kisiasa tu.
Hawa wamekwisha, bila jeshi na polisi CCM haipo, Amini usiamini. Chaguzi ndogo zilizofanyika hivi karibuni zimethibitisha hilo.
Hawa wamekwisha, bila jeshi na polisi CCM haipo, Amini usiamini. Chaguzi ndogo zilizofanyika hivi karibuni zimethibitisha hilo.