Nilikuwa na tatizo kubwa la kuogopa kuongea Kiingereza mbele za watu sababu sijakijua vizuri na kwa bahati mbaya sana shughuli zangu zinanihitaji nifanye hivyo mara kwa mara......nilikuwa napata shida kwelikweli na kujisikia mnyonge.
Jana ni clip ya pili ya mama yangu Ndalichako naiona ikisambaa mitandaoni akiwa anazungumza kiingereza. Mengi yameongelewa kuhusu suala la Kiingereza kutokidhi haja tarajiwa ya daraja lake la kielimu (uprofesa) na mengine mengi ikiwemo waliojiuliza kuwa mama amesoma zamani na kipindi hicho ndicho watabe wa lugha walikuwepo kutokana na wengi wao kufundishwa na wenyewe wazungu sasa imekuaje hana flow nzuri kabisa n.k.
Hayo mengine nakuachieni maana sina la maana nilijualo, lakini mimi nakiri nimepata confidence ya hali ya juu mno ya kujizungumzia tu mbele za watu. Yaani nimemotishika vya kutosha kabisa na zile clips. seriously, ahsante sana mama Ndalichako!
Jana ni clip ya pili ya mama yangu Ndalichako naiona ikisambaa mitandaoni akiwa anazungumza kiingereza. Mengi yameongelewa kuhusu suala la Kiingereza kutokidhi haja tarajiwa ya daraja lake la kielimu (uprofesa) na mengine mengi ikiwemo waliojiuliza kuwa mama amesoma zamani na kipindi hicho ndicho watabe wa lugha walikuwepo kutokana na wengi wao kufundishwa na wenyewe wazungu sasa imekuaje hana flow nzuri kabisa n.k.
Hayo mengine nakuachieni maana sina la maana nilijualo, lakini mimi nakiri nimepata confidence ya hali ya juu mno ya kujizungumzia tu mbele za watu. Yaani nimemotishika vya kutosha kabisa na zile clips. seriously, ahsante sana mama Ndalichako!