Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
VIFURUSHI; Ahsante Rais Samia kwa Kusikia Kilio Chetu
Nani kama Mama? Hakuna. Hakika hakuna kama mama.
Kilio chetu cha kutwa moja tu kimemfanya mama atoe maagizo fasta kwa TCRA kushughulikia kupanda kwa gharama za vifurushi.
Awali, changamoto kama hizo zilikua zikishughulikiwa baada ya kututafuna kwa wiki au miezi kadhaa.
Katika utumishi wako adhimu, Rais wetu Mh. Samia hakika umeweza kututatulia changamoto hii ndani ya masaa kadhaa tu hata siku (masaa 24) haijafika.
Tunakupenda sana Rais wetu. Endelea na spidi hiyohiyo. Mungu yu pamoja nawe anakuongoza.
NaniKamaMama
Nani kama Mama? Hakuna. Hakika hakuna kama mama.
Kilio chetu cha kutwa moja tu kimemfanya mama atoe maagizo fasta kwa TCRA kushughulikia kupanda kwa gharama za vifurushi.
Awali, changamoto kama hizo zilikua zikishughulikiwa baada ya kututafuna kwa wiki au miezi kadhaa.
Katika utumishi wako adhimu, Rais wetu Mh. Samia hakika umeweza kututatulia changamoto hii ndani ya masaa kadhaa tu hata siku (masaa 24) haijafika.
Tunakupenda sana Rais wetu. Endelea na spidi hiyohiyo. Mungu yu pamoja nawe anakuongoza.
NaniKamaMama