Ahsante nisimpe Mganga......nikupe wewe

Adharusi

JF-Expert Member
Jan 22, 2012
14,402
7,310
Maongezi ya hawara na buzi lake yalikuwa hivi:-
BUZI: mpenzi wangu tangu nimekununulia nyumba na gari naona mapenzi yamepungua!
HAWARA: kwanini mpenzi?
BUZI: siku hizi huniambii asante kwa chochote tofauti na zamani
HAWARA: asante nisimpe mganga nikupe wewe na ubakhili wako. Nisingekuroga ungenipa lini nyumba na gari?
BUZI: na mimi nisingekuhonga hivyo vitu ningekuambukiza UKIMWI saa ngapi?
Hawara hoi,
Hapo nani mjanja?
 
Vp swahiba? Naona umetulia. Unawaza nn? Usihofu kama ni gari tengeneza hata la udongo na kama ndege nunua ata njiwa nayo ni ndege na ww ujidai, mm mwenzio cna mawazo tena ninamilik nyumba 3 mbili zakawaida 1 ya golofa zote zakuchora kwenye karatas. mvuvi hakuwa mjinga kuchonga mtumbw. nae alitaman meli.
 
Maongezi ya hawara na buzi lake yalikuwa hivi:-
BUZI: mpenzi wangu tangu nimekununulia nyumba na gari naona mapenzi yamepungua!
HAWARA: kwanini mpenzi?
BUZI: siku hizi huniambii asante kwa chochote tofauti na zamani
HAWARA: asante nisimpe mganga nikupe wewe na ubakhili wako. Nisingekuroga ungenipa lini nyumba na gari?
BUZI: na mimi nisingekuhonga hivyo vitu ningekuambukiza UKIMWI saa ngapi?
Hawara hoi,
Hapo nani mjanja?

Wote -------
 
Back
Top Bottom