ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Kama kuna jambo Mwenyezi Mungu kawatendea haki kubwa Watanzania ni kwa kumleta kwetu Joshua Nassari ambaye kupitia kwake katufunulia TRUE COLOUR YA CHADEMA, chama nilichodhani ni mbadala wa CCM kumbe nilikuwa nataka kuwaamini makanjanja wa kisiasa!
Mwenyezi Mungu katuletea Nassari kufunua siri ya ubaguzi wa kutisha wa CDM! Basi tena nimeahirisha kuhamia CDM ngoja nitafute chama kingine maana CCM nao wameshindwa kuvuana magamba. Tafisiri rahisi ya maneno ya Nassari ni kuwa kuwapa nchi CDM ni kuwapa watu vichaa wa kaskazini. Hili halivumiliki! Dr. Slaa tunakuamini toka umkane Nassari maana WANADAI UMEMTUMA!
topic closed, kesha toa press release