advocate kiza
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 261
- 90
Open uiversity of Tanzania(OUT) Chuo kikuu huria ndicho kilicho pewa mamlaka ya kutoa foundation
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kusoma shahada chuo kingine zaid ya OUT.
Pia nimepata shida kidogo.. Medicine upate kwa shot cut za foundation kweli? mara ya kwanza nilidhan foundation ya NBAA kumbe wataka kwenda kusomea uhai wetu? Hapana kasome General Science huko.. Utatuuwa wewe medicine hapanaHuwezi pata medicine kwa foundation sahau kabisa nenda kaomba kozi za general science
HahahahaPia nimepata shida kidogo.. Medicine upate kwa shot cut za foundation kweli? mara ya kwanza nilidhan foundation ya NBAA kumbe wataka kwenda kusomea uhai wetu? Hapana kasome General Science huko.. Utatuuwa wewe medicine hapana
Awali ya yote naomba nimshukuru mungu kwa kupasua ile paper kwa maana UNIVERSITY ningeisikilizia redion tu na kidiploma changu cha ualimu
Sasa ndo muda wangu Wa kuacha fan ya ualimu na kwenda kusomea doctor of medicine
TCU funguen dirisha mapema tufanye yetu
Usome mwongozo wa TCU kama una ndoto ya Medicine rudi tena Form six,foundation wote OUT hakuna cha UDOM wala MUHAS
Acha kupotoshaNaona TCU wamekata mzizi wa FITINA walio soma FOUNDATION COURES wote mtabaki OPEN UNIVERSITY Ingawaje mwongozo ulikuwa unasema utasoma chuo chochote
Acha kupotosha
soma guideline, kigezo cha Foundation kimewekwa kwa OUT peke yake
Usipotoshe watusoma guideline, kigezo cha Foundation kimewekwa kwa OUT peke yake
Mkuu isiwe taabu apply vyuo vingine tuoneUsipotoshe watuView attachment 1153408
Ntakpa mrejeshoMkuu isiwe taabu apply vyuo vingine tuone
UDSM haaaaa watu na ufaulu wao wameachwa mwaka jana wew na hicho ki foundation chako tayari unajiona UDSM Haaa watu watakuja kulia hapaAwali ya yote naomba nimshukuru mungu kwa kupasua ile paper kwa maana UNIVERSITY ningeisikilizia redion tu na kidiploma changu cha ualimu
Sasa ndo muda wangu Wa kuacha fan ya ualimu na kwenda kusomea doctor of medicine
TCU funguen dirisha mapema tufanye yetu