Mkwawa mnyalukoro
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 232
- 136
Awali ya yote naomba nimshukuru mungu kwa kupasua ile paper kwa maana UNIVERSITY ningeisikilizia redion tu na kidiploma changu cha ualimu
Sasa ndo muda wangu Wa kuacha fan ya ualimu na kwenda kusomea doctor of medicine
TCU funguen dirisha mapema tufanye yetu
Sasa ndo muda wangu Wa kuacha fan ya ualimu na kwenda kusomea doctor of medicine
TCU funguen dirisha mapema tufanye yetu