AHSANTE MUNGU FOUNDATION COURSE NIMEPASUA TUKUTANE UDSM

Mkwawa mnyalukoro

JF-Expert Member
Oct 11, 2017
232
136
Awali ya yote naomba nimshukuru mungu kwa kupasua ile paper kwa maana UNIVERSITY ningeisikilizia redion tu na kidiploma changu cha ualimu

Sasa ndo muda wangu Wa kuacha fan ya ualimu na kwenda kusomea doctor of medicine

TCU funguen dirisha mapema tufanye yetu
 
Awali ya yote naomba nimshukuru mungu kwa kupasua ile paper kwa maana UNIVERSITY ningeisikilizia redion tu na kidiploma changu cha ualimu

Sasa ndo muda wangu Wa kuacha fan ya ualimu na kwenda kusomea doctor of medicine

TCU funguen dirisha mapema tufanye yetu

Foundation course inakuwaje hii
 
Hiyo foundation course unasomea wapi,tujuzane
Awali ya yote naomba nimshukuru mungu kwa kupasua ile paper kwa maana UNIVERSITY ningeisikilizia redion tu na kidiploma changu cha ualimu

Sasa ndo muda wangu Wa kuacha fan ya ualimu na kwenda kusomea doctor of medicine

TCU funguen dirisha mapema tufanye yetu
 
Awali ya yote naomba nimshukuru mungu kwa kupasua ile paper kwa maana UNIVERSITY ningeisikilizia redion tu na kidiploma changu cha ualimu

Sasa ndo muda wangu Wa kuacha fan ya ualimu na kwenda kusomea doctor of medicine

TCU funguen dirisha mapema tufanye yetu
Huwezi pata medicine kwa foundation sahau kabisa nenda kaomba kozi za general science
 
Awali ya yote naomba nimshukuru mungu kwa kupasua ile paper kwa maana UNIVERSITY ningeisikilizia redion tu na kidiploma changu cha ualimu

Sasa ndo muda wangu Wa kuacha fan ya ualimu na kwenda kusomea doctor of medicine

TCU funguen dirisha mapema tufanye yetu
Ualimu mhimu mkuu
Bt kwa huu mteru kapambane coz disco zipo mkuu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom