DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 10,519
- 21,433
DADA AHONGWA MPAKA SERIKALI YAINGILIA KATI
Mahakama ya kupambana na Rushwa Nchini Kenya, imeagiza account ya bank ya Mwanafunzi wa chuo cha Ufundi Nairobi. Felesta Njoroge (21) Ifungwe kwa siku 90 ili kuruhusu wakala wa urejeshaji mali (ARA) kufahamu chanzo cha Tsh Bilion 2.3 zilizopo kwenye akaunti hiyo.
Fedha hizo zilitumwa kwenye account ya Felasta kama zawadi kutoka kwa Mpenzi wake Bilionea wa Bitcoin Merc De Mesel ambaye anaishi Ubelgiji, kupitia miamala minne kati ya August 4 na 6 Mwaka 2021.
Ofisi ya Wakala ya urejeshaji mali (ARA) ilihisi kuwa fedha hizo ni matokeo ya utakatishaji wa fedha, hivyo ikaomba account ifungwe kwa uchunguzi zaidi.
Mahakama ya kupambana na Rushwa Nchini Kenya, imeagiza account ya bank ya Mwanafunzi wa chuo cha Ufundi Nairobi. Felesta Njoroge (21) Ifungwe kwa siku 90 ili kuruhusu wakala wa urejeshaji mali (ARA) kufahamu chanzo cha Tsh Bilion 2.3 zilizopo kwenye akaunti hiyo.
Fedha hizo zilitumwa kwenye account ya Felasta kama zawadi kutoka kwa Mpenzi wake Bilionea wa Bitcoin Merc De Mesel ambaye anaishi Ubelgiji, kupitia miamala minne kati ya August 4 na 6 Mwaka 2021.
Ofisi ya Wakala ya urejeshaji mali (ARA) ilihisi kuwa fedha hizo ni matokeo ya utakatishaji wa fedha, hivyo ikaomba account ifungwe kwa uchunguzi zaidi.